Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
zee wa supu ya utumbo utawajua tu,................Tukijambiwa, tunachomeka huko huko kijambioni......! Malabuku
zee wa supu ya utumbo utawajua tu,................Tukijambiwa, tunachomeka huko huko kijambioni......! Malabuku
Uvivu wa kufikiria, wanakopi sanakila siku mnarudia mada hizi hizi jamani
HahahahahTukijambiwa, tunachomeka huko huko kijambioni......! Malabuku
Aliwazalo mjinga..... Angalia tu usichomekewe weweTukijambiwa, tunachomeka huko huko kijambioni......! Malabuku
Utumbo ntaamu....wa
zee wa supu ya utumbo wutawajua tu,................
sasa wewe, ulikuwa unafurahi nini...! Mkuki kwa pig.....Aliwazalo mjinga..... Angalia tu usichomekewe wewe
Hiyo ni shida ya kuruhusu moyo kwanza kuliko akili. Ndo matokeo yake hayo.Kipenda roho hula nyama mbichi,wewe kwa upande wako umeona hvo lakini kila mtu anapenda kinachompa furaha yeye ndo mana mwingine unakuta yupo na bint mtulivu tabia nzuri na pia yupo na mwingine mcharuko mambo mengi lakini anakuja anambwaga huyo mwenye tabia nzuri anabaki na pasua kichwa ko mapenzi hayana formular..yanafata vile you feel inside your heart.
I [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aliwazalo mjinga..... Angalia tu usichomekewe wewe
BhaaaaaUtumbo ntaamu....
As if kuolewa ni ukuu Wa wilaya wa awamu ya 5[emoji57] [emoji57] [emoji57]Wadada wengi wame-panic, inaonekana mleta uzi kawagusa vilivyo. Poleni kwa kujipa tumaini, ndo mnazeeka hivo mkisubiri kuolewa.
Wanawake wanawaendesha sana,kusema live hawawezi wanakuja kupumulia mitandaonikuna mmoja alisema humu kuwa yeye haoi tabia maana hatotembea na tabia, sijui huyo unamwambiaje??
Leo naona mmewaamulia wanawake, mada nyingi ni wanawake tuuu.
Kubwa katika maelezo yote ni kitu kipi kinaamua mda wa ndoa "Tabia" akasema sababu ya kuolewa ni kweli wengine wanataka shape but tabia ndio itaifanya ndoa kudumuHizi ngonjera wala huwa hazina uhalisia hata kidogo, hazina uhalisia hata kidogo
Watu tunatofautiana, hata vigezo vya kumtafuta mwenzi vinatofautiana pia....
Kama we unapenda tabia, wengine wanapenda sura, wengine shape n.k sifa zako sio sifa za kila mtu kukariri hizi ujinga muache