Wasichana Mabinti pisi kali na mmomonyoko

Wasichana Mabinti pisi kali na mmomonyoko

Kweli kak
Mkuu pole kama kwenye maelezo nimekosea kueleza. Ila mimi nashangaa yaani mtu ukimfatilia mitandaoni anavaa manywele ya ghali, anakunywa pombe za ghali kwenye makumbu makubwa ya starehe tena kwenye nchi za wenzetu. ALAFU ANARUDI NA IPHONE T
Kweli kaka unajua kipofu akiona kwa nguvu za shetani au baadhi ya njia atatamani kwenda sehemu alizowahi kusikia haswa za anasa pia kipofu alifunguliwa kwa njia ya miujiza atakuwa anamshukuru Mungu na kumwabudu so hata hao wanawake walienda kwa kazi hiyo na watakuwa hivyo na watarudi vile vile na zaidi watarudi na magonjwa
 
Sasa mbona kuna hadi ambao wana admit kabisa kwamba ndio wanafanya hivo. Ndio wanachukua wadada bongo na kuwasafirisha.

Sasa inakuaje hawachukuliwi hatua?

Zipo pia cases kadhaa za wadada wanalalamika kwa kutoroka, je balozi za nchi husika hapa kwetu na balozi zetu kwenye nchi husika wana nafasi gani katika hili?

Mfano binti akipelekwa kule kwa kurubuniwa akafika akakuta biashara ni mwili wake, je ndugu zake huku wakifika ubalozi wa nchi husika i.e ubalozi wa India, atapata msaada gani?
Au dada kule akaamia kwenda ubalozi wa Tanzania pale india, atapata msaada gani?
Hamna cha msaada swala awe na hela atasaidiwa hizi nyingine ni politiki tu
 
Sasa mkuu watu wanafanya mambo yao kwa mipango yao wewe tatizo lako ni nini? IKiwa mwenyewe kaamua kuuza mwili wake muache tu.
 
Sasa mkuu watu wanafanya mambo yao kwa mipango yao wewe tatizo lako ni nini? IKiwa mwenyewe kaamua kuuza mwili wake muache tu.

Kwa ninavosikia. Binti anaambiwa ametafutiwa kazi. Akifika kule anaambiwa leta passport. Anaambia kazi tulokuitia ni kuuza mwili.
 
Back
Top Bottom