officialBossmtoto
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 370
- 1,227
Wasalam.
Naomba nisiwachoshe sana niwapeleke tu kwenye dhumuni la hii thread [emoji3468]
Kwa Muda sasa wa kama miaka miwili kumekua na wimbi kubwa sana la wale wadada wanaojiita pisi kali, Mali safi na Slay Queens kuvuka border kwenda mataifa ya nje. Wenyewe husema wanaenda kwenye ajira, masomo, au kusalimia ndugu lakini ukifatilia kwa ukaribu unakuta kilichowapeleka ni biashara haramu ya kuuza mwili.
Vibinti hivi, vingi unakuta ni miaka 23-30. Wasichana ambao tayari wengi wao wameacha watoto wadogo kwa wazazi wao, ndugu na marafiki ili wao wakayatafute maisha kwa kufanya zinaa.
Mara nyingi mabinti hawa wakirudi hurudi wanashida kuliko hata walivoondoka. Ilikua ukifuatilia status na maisha yao ya mtandaoni wakiwa huko nje ni full Bata tuu. Ila akirudi kama alibahatika simu macho matatu ndo hio. Mtu ameenda nchi ya watu kaishi mwaka mzima. Kasema ameenda kutafuta maisha yake yeye na mtoto wake, ila akirudi Tanzania, kufikia airport tuu inabidi akuombe ukamchukue au umtumie nauli ya Tax!
Ukimchunguza labda hela alikua anatuma kwa mtoto hakuna, akirudi amefubaa kama Mandonga mtu kazi. Unashindwa kujua je, ni sababu hii kazi ni ya laana na haina maendeleo au ni kushindwa kupangilia maisha na ulimbukeni wa kuishi ardhi ya kigeni?
Je, Kisheria iko vipi? Je hawa wanaojiita ma madam ambao wao ni watanzania ambao wako Dubai, Uturuki na india na wao kazi yao ni kuwapa michongo wadada walioko huku bongo kwenda huko nje na kufanyiwa ukuadi.
Naomba nisiwachoshe sana niwapeleke tu kwenye dhumuni la hii thread [emoji3468]
Kwa Muda sasa wa kama miaka miwili kumekua na wimbi kubwa sana la wale wadada wanaojiita pisi kali, Mali safi na Slay Queens kuvuka border kwenda mataifa ya nje. Wenyewe husema wanaenda kwenye ajira, masomo, au kusalimia ndugu lakini ukifatilia kwa ukaribu unakuta kilichowapeleka ni biashara haramu ya kuuza mwili.
Vibinti hivi, vingi unakuta ni miaka 23-30. Wasichana ambao tayari wengi wao wameacha watoto wadogo kwa wazazi wao, ndugu na marafiki ili wao wakayatafute maisha kwa kufanya zinaa.
Mara nyingi mabinti hawa wakirudi hurudi wanashida kuliko hata walivoondoka. Ilikua ukifuatilia status na maisha yao ya mtandaoni wakiwa huko nje ni full Bata tuu. Ila akirudi kama alibahatika simu macho matatu ndo hio. Mtu ameenda nchi ya watu kaishi mwaka mzima. Kasema ameenda kutafuta maisha yake yeye na mtoto wake, ila akirudi Tanzania, kufikia airport tuu inabidi akuombe ukamchukue au umtumie nauli ya Tax!
Ukimchunguza labda hela alikua anatuma kwa mtoto hakuna, akirudi amefubaa kama Mandonga mtu kazi. Unashindwa kujua je, ni sababu hii kazi ni ya laana na haina maendeleo au ni kushindwa kupangilia maisha na ulimbukeni wa kuishi ardhi ya kigeni?
Je, Kisheria iko vipi? Je hawa wanaojiita ma madam ambao wao ni watanzania ambao wako Dubai, Uturuki na india na wao kazi yao ni kuwapa michongo wadada walioko huku bongo kwenda huko nje na kufanyiwa ukuadi.