Wasichana IFM Dar wanajiuza laivu...

Wasichana IFM Dar wanajiuza laivu...

Maisha ni magumu jamani na watu hawajui wanakula nn kila kukicha kwaio wanabuni mbinu za kujikimu kimaisha jaman mi hata sioni cha ajabu hapo
 
Kawaida sio sheria, nyie ndio huwa mnapatikana kwa kudhani wanawake wanaoshinda kanisani wote ni malaika.
 
Tunawaponda mchana, usiku tunawasalandia kama hatuna akili nzuri..Tu viumbe wa ajabu sana.!
 
Wasipokuwepo wanunuaji, wauzaji hawapo pia. The problem ni kwamba wale walio wanunuaji ndo wamejaa manung'uniko na malalamiko.
 
Nilikuwa siamini hadi niliposhuhudia laivu. ikifika mida kuanzia saa moja usiku, aisee wanajiuza laivu, na ni wasichana wa ifm, wala sio kwamba wanawake wa mtaani wamekuja pale wakijifanya kama wanafunzi wa ifm ili wapate soko la hasha, ni wanafunzi wa ifm, aisee, wanajiuza laivi. nilipiga picha kuwa, hao ndio wafanya kazi wetu wa mabenki hao, watu wengi kwenye mabenki wamepitia hapo na hivyo ukiona wanawake wazuri kwenye counter, jua walishawahi kuwa makahaba, hata wavae vizuri vipi....aisee, tz kwisha habari yake....mkiwakuta bank wamependeza unawapapatikia kuwaoa, kumbe walishashambuliwa na nyenyere chini kwisha habari yao...hakika yake wanawake wazuri kumbe sio wale walio wasomi, wasomi walio wengi makahaba tu.

Lamiki akikusikia anne makinda sijui atakujibu nini.......loooo....pole samaki
 
Ukweli unauma na ni mchungu kumeza. Naona watu mmetoka bovu sana kumshambulia mleta mada, but nasikitika kusema kuwa hamtabadili ukweli.
 
Mambo ya kujiuza kwa wanafunzi wa IFM yameanza almost 10 years ago baada ya serikali kuondoa full sponsorship na kuintroduce mikopo, na kuanza kuchukua direct entrants kutoka A-level. Serikali iliondoa free meals cafeteria na wanafunzi wakaanza kujinunulia chakula. Pesa za mikopo hazitoshi kununulia chakula na mahitaji mengine ya kila siku, hivyo basi wanafunzi wa kike [most of them] wanaingia kwenye temptations za mjini, za kujipatia pesa kutoka kwa wanaume wa nje wenye pesa za "ziada"! Hao wanaume wengi wao ni wafanya biashara na maexecutives kwenye taasisi za binafsi na za serikali. Bomu hili serikali imelitengeneza yenyewe na halipo IFM tu, ni kwenye vyuo vyote vikuu hapa nchini, both private na governmental!!
 
Nilikuwa siamini hadi niliposhuhudia laivu. ikifika mida kuanzia saa moja usiku, aisee wanajiuza laivu, na ni wasichana wa ifm, wala sio kwamba wanawake wa mtaani wamekuja pale wakijifanya kama wanafunzi wa ifm ili wapate soko la hasha, ni wanafunzi wa ifm, aisee, wanajiuza laivi. nilipiga picha kuwa, hao ndio wafanya kazi wetu wa mabenki hao, watu wengi kwenye mabenki wamepitia hapo na hivyo ukiona wanawake wazuri kwenye counter, jua walishawahi kuwa makahaba, hata wavae vizuri vipi....aisee, tz kwisha habari yake....mkiwakuta bank wamependeza unawapapatikia kuwaoa, kumbe walishashambuliwa na nyenyere chini kwisha habari yao...hakika yake wanawake wazuri kumbe sio wale walio wasomi, wasomi walio wengi makahaba tu.


Pesa ya matumizi unayo mpa msichana unategemea ale,avae,nauli daladala maana Ifm Hakuna hstl, anunue Ped, vocha, anunue notes, anunue maji na nk ataish vp hapa mjini?
Serikali ijali wanafunzi
 
Back
Top Bottom