Wasichana IFM Dar wanajiuza laivu...

Wasichana IFM Dar wanajiuza laivu...

Yapo hayo mkuu! vyuo vyote! Nakumbuka kama mwezi umepita kule mwanza alinambia jamaa tunayefanya nae kazi kuwa kuna mzigo (jina la chuo kapuni) ulimwambia laiv kuwa umeishiwa, na alikua anataka elfu ishirini tu,akamwambia asijali mengine wataelewana!

Jamaa kwa kuwa anamfahamu akaona huruma, akamsukumia mshakaj wake ambae same day akatoka nae yule dada, hawajuani alipewa namba tu kwisha habari!!
 
Nilikuwa siamini hadi niliposhuhudia laivu. ikifika mida kuanzia saa moja usiku, aisee wanajiuza laivu, na ni wasichana wa ifm, wala sio kwamba wanawake wa mtaani wamekuja pale wakijifanya kama wanafunzi wa ifm ili wapate soko la hasha, ni wanafunzi wa ifm, aisee, wanajiuza laivi. nilipiga picha kuwa, hao ndio wafanya kazi wetu wa mabenki hao, watu wengi kwenye mabenki wamepitia hapo na hivyo ukiona wanawake wazuri kwenye counter, jua walishawahi kuwa makahaba, hata wavae vizuri vipi....aisee, tz kwisha habari yake....mkiwakuta bank wamependeza unawapapatikia kuwaoa, kumbe walishashambuliwa na nyenyere chini kwisha habari yao...hakika yake wanawake wazuri kumbe sio wale walio wasomi, wasomi walio wengi makahaba tu.

Mhhhhhh yamekukuta ndugu. pole sana ndio maisha lkn
 
ifm - ndo wapi kwani......

Institute of Fashion and Modelling!!

Ipo pale karibu na kwa akina mwanaasha.Inaonekana wanakula vichwa sana wale watoto maana wamezungukwa na ofisi nyeti tu kwa pande zote. Ofisi ndogo ya bunge,wizara ya fedha,Ikulu,BOT. Kweli hata mimi kuna besti wangu yalishamkuta alikuwa na kabinti hapo IFM, sijui vigezo wanavyotumia kuwadahili wale wadada wanatoa kipaumbele kwa wenye vijitabia vya ukahaba?
 
Thibitisha ama toa mfano.. La sivyo nakunyuka ban
nithibitishe nini sasa, au unataka nianze kudescribe features za labia minora, labia majora, clit na kila kitu...how can i prove it sasa?
 
Wow!wow!...

What is wrong wit u Dude?!

Did anybody hurt your feelings in anyway?!share with us...tunaweza kukusaidia lakini sio kuropoka una-fail hivyo mwanakwetu.

Sent from BlackBerry
 
nilipiga picha kuwa, hao ndio wafanya kazi wetu wa mabenki hao, watu wengi kwenye mabenki wamepitia hapo na hivyo ukiona wanawake wazuri kwenye counter, jua walishawahi kuwa makahaba, hata wavae vizuri vipi....aisee, tz kwisha habari yake....mkiwakuta bank wamependeza unawapapatikia kuwaoa, kumbe walishashambuliwa na nyenyere chini kwisha habari yao...hakika yake wanawake wazuri kumbe sio wale walio wasomi, wasomi walio wengi makahaba tu.

nina mtoto mdogo miaka miwili hivi ukitoa hoja za hovyo, jumla jumla kama hivi yeye atakwambia "Pumbavu alaaaa!!" sijui nani kamfundisha
 
Nilikuwa siamini hadi niliposhuhudia laivu. ikifika mida kuanzia saa moja usiku, aisee wanajiuza laivu, na ni wasichana wa ifm, wala sio kwamba wanawake wa mtaani wamekuja pale wakijifanya kama wanafunzi wa ifm ili wapate soko la hasha, ni wanafunzi wa ifm, aisee, wanajiuza laivi. nilipiga picha kuwa, hao ndio wafanya kazi wetu wa mabenki hao, watu wengi kwenye mabenki wamepitia hapo na hivyo ukiona wanawake wazuri kwenye counter, jua walishawahi kuwa makahaba, hata wavae vizuri vipi....aisee, tz kwisha habari yake....mkiwakuta bank wamependeza unawapapatikia kuwaoa, kumbe walishashambuliwa na nyenyere chini kwisha habari yao...hakika yake wanawake wazuri kumbe sio wale walio wasomi, wasomi walio wengi makahaba tu.
sijaamini kwenye maisha kuna mapoyoyo kama wewe,mwanamme gani wewe mbeya namna hiyo kuna aliyekuwa ameandikwa IFM usoni ukome kuwaita watu makahaba ,wengine hao bankers wanajiheshinu na sio lazima wawe wametoka hapo IFM .the issue is too personal
hujui hta m,aana ya signature yako!!!

Haya yote ni ubatili mtupu, hakuna jipya hapa duniani!
 
Hahahahha....mbavu zangu sina.... utakua ushapigwa wewe si bure..le'me guess.....umeshobokea kident, kikakuchanganya , kikakuomba ukilipie ada, kimemaliza chuo kikakumwaga....hizo mbona za kawaida sana hapa town kaka. Wacha kuwaharibia vijana future zao bwana. Mjini hapa.
kula like kiongozi,huyu atakuwa ameliwa vihela cyake vya mawazo halafu anakuja kupiga kelele huku,loh
 
Wanasoma IFM? ebu waulize course gani wanasoma kama hawatakuambia education!
Wewe utakua umekutana na mjanja wa town akakuingiza kingi..
 
Tajeni basi viwanja wanavyojiuza...savannah?? au
mm ni mteja mzuri​
 
Nilikuwa siamini hadi niliposhuhudia laivu. ikifika mida kuanzia saa moja usiku, aisee wanajiuza laivu, na ni wasichana wa ifm, wala sio kwamba wanawake wa mtaani wamekuja pale wakijifanya kama wanafunzi wa ifm ili wapate soko la hasha, ni wanafunzi wa ifm, aisee, wanajiuza laivi. nilipiga picha kuwa, hao ndio wafanya kazi wetu wa mabenki hao, watu wengi kwenye mabenki wamepitia hapo na hivyo ukiona wanawake wazuri kwenye counter, jua walishawahi kuwa makahaba, hata wavae vizuri vipi....aisee, tz kwisha habari yake....mkiwakuta bank wamependeza unawapapatikia kuwaoa, kumbe walishashambuliwa na nyenyere chini kwisha habari yao...hakika yake wanawake wazuri kumbe sio wale walio wasomi, wasomi walio wengi makahaba tu.
Sasa unashangaa nini? we inaonekana mgeni mjini. unapowaona hao masista duu wanang'aa unashoboka ukidhani wa maana? hiyo ni kawaida sana wala si ajabu kwa mzoefu wa town. ndo ujue sasa uache kushoboka.
 
Back
Top Bottom