Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,326
- 7,522
Fuata haya-Jitahidi kuwadanganya ili uwapate,Usimpende mwanamke utalia baadae,Usiwe na huruma kwa viumbe hawa,Ukipewa penzi achana nae ili uepuke kugeuzwa ajira,Usiwaamini hawa viumbe ni waongo,Unatakiwa kuwatendea haki ya kuwapa penzi wakizingua songa mbele,mtazamo wangu nimejifunza kwa hawa akina hawa,narudia watumie tu usiwafanye wawe marafiki,ila ukifika umri wa kuoa oa usiwaze