uniquelady
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 420
- 177
Change yourself utashangaa matokeo mleta mada we ndo hutak kubadilika ndo maana
Wapole ndiyo wazuri mkuu we unapenda visharo?Watu wapole mnakuaga hamna amsha amsha mara nyingi mnaboa
ila pole mwayego
Sory ntakaowaudhi ila wanawake wanaboa, utakuta wanawakataa watu wapole wema wanakuja wawaoe, wanaleta mapozi wanaringa
WANASHOBOKEA VIBITOZI, WAUZA SURA, AU WATU WAONGO WANAODANGANYA wanakuja kujijua mda umeenda washachezewa mwishowe wanazalishwa tu wa kuwaoa hawawaoni tena
Mimi maswala ya kutongoza nimeiachia pochi yangu
Watu wapole mnakuaga hamna amsha amsha mara nyingi mnaboa
ila pole mwayego
Girls wa siku hz wanapenda mtu mhuni mhuni flan hivi, sa ukijitia ulokole huwapati,!
Itakuchukua maisha yako yote ili uweze kuwaelewa hawa wanawake
siku utakapokuja kuwaelewa ndio siku utakayokufa
trust me
Watu wapole mnakuaga hamna amsha amsha mara nyingi mnaboa
ila pole mwayego
Chunga sana wapole, atakula hadi mabest zako bila ya wewe kujua!
Chunga sana hawa watu!
wewe unamaanisha wakimya sio wapole........wapole hawana tatizo ila wakimya ndo balaa.....
Kila kitu okay baby, sawa baby ukichelewa kurudi anajisononekea tu....Teh teh...wengi wao wanakuwa hawana surprise zozote ..utendaji,ratiba na kauli zao ni zilezile..ukiandaa kidate unajua tu kinachoenda kufanyika a to z,ukiwa unafanya nae sherehe mapigo ni yale yale deile,mkikaa kuongea story ni zilezile lazima mtu aboreke
Kwani wapole maana ake sio masharo?Wapole ndiyo wazuri mkuu we unapenda visharo?
Kila kitu okay baby, sawa baby ukichelewa kurudi anajisononekea tu....
sometimes tunaenjoy kupigwa mabeat buana " uko wapi? Rudi haraka" wapole hawanaga hizo
Kila kitu okay baby, sawa baby ukichelewa kurudi anajisononekea tu....
sometimes tunaenjoy kupigwa mabeat buana " uko wapi? Rudi haraka" wapole hawanaga hizo
My point exactly