Wasichana hamjitambui

Wasichana hamjitambui

mwakibolo

Senior Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
163
Reaction score
47
Sory nitakaowaudhi ila wanawake wanaboa,

Utakuta wanawakataa watu wapole wema wanakuja wawaoe, wanaleta mapozi wanaringa. Wanashobokea vibitozi, wauza sura,au watu waongo wanaodanganya wanakuja kujijua mda umeenda washachezewa mwishowe wanazalishwa tu wa kuwaoa hawawaoni tena.
 
mwakibolo

sio bure maneno hayo, lazima utakauwa umepewa majibu mbofumbofu.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana dogo. Unatakiwa kujua women like bad boys, wewe jifanye mtakatifu wanawake wazuri utawasikia redioni.

Inapokuja swala la mapenzi wanawake wanakua na akili tofauti usipoijua utaishia kuwalaumu kila siku.
 
Pole kwa kibuti, jaribu kuangalia hao waongo wamezidi nini ujirekebishe
 
sio bure maneno hayo, lazima utakauwa umepewa majibu mbofumbofu.

walikua wananjibu mbovu zamani nlivyokua sina hela ila saivi nagusa tu na kuwaacha, wale wanaonringia mwanzon wakigundua nna kazi wanajileta nao nawapindua na kuwaacha
 
Sory ntakaowaudhi ila wanawake wanaboa, utakuta wanawakataa watu wapole wema wanakuja wawaoe, wanaleta mapozi wanaringa
WANASHOBOKEA VIBITOZI, WAUZA SURA, AU WATU WAONGO WANAODANGANYA wanakuja kujijua mda umeenda washachezewa mwishowe wanazalishwa tu wa kuwaoa hawawaoni tena

acha jombaa,mbona mm mpole na nnawakunja kidogie nabadrisha gia na reverse cow girl na sioi, tatzo co upole n kuwa na maujanja ya kuwateka hawa viumbe
 
Kwa hiy hata dada yako binamu yako na wengine kama hao pia hawajielewi?
 
Itakuchukua maisha yako yote ili uweze kuwaelewa hawa wanawake
siku utakapokuja kuwaelewa ndio siku utakayokufa

trust me

Hahahaaaa hhahaa hii kali
 
mweeeeeh kwani kuchezewa kukoje maana sielewi
 
Pole kwa kukataliwa usijali jaribu kwingine utabahatika.
 
Been in the game for years, wouldn't say i'm a pro tho/
There's rule to this sh!t., lemme share with you a manual/
Step by step, guidance to help you set/ your game on track, so you never get played out/
Rule numero uno...never let no chick know/
...

I'm just playing man. Pole mtu mzima. Chagua wa lane yako ili usinyang'anywe.
 
mwakibolo

mh pole sana mkuu ila unapaswa ujue hawa watu ni ulimwengu mwingine kabisa tofauti na uliopo wewe, ukiijua tofauti kubwa sana iliyopo kati yako na mwanamke utawatumia sana.
hawa watu wanatraits za kushangaza sana hasa kuhusu mapenzi,
ukiaenda serious ujue kumpata labda Mungu aamue lakini asilimia kubwa utapigwa chini wao ndo wanaamini kuwa UNAPRETEND!!!:A S confused:
ukijiweka kama pastor napo utapigwa chini hata kama washinda , wakesha ukisali utapigwa chini tu duh
ukienda hauko serious unaweza mla hata vice prezdent hawana chao hapo coz utadanganya kila kitu na yeye itakuwa ndiyo tu hatari kweli
inashangaza sana hawa watu ukifanya mistake moja at the beginning imekula kwako utapigwa chini tu hata kama unajielewa vipi
by the way hawa watu hata kama anamiaka 60 kwenye mapenzi ingia kama unatongoza under under 20 simple tu utatumia mno
jifunze kuwajua hawa watu hautakuja kulalamika jf tena.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom