Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Tangu TUNDU LISSU achaguliwe na chama chake cha CHADEMA kuwania urais wa Jamhuri ya Tanganyika wamejitokeza waswahel washauri wanaomfuatilia kwa karibu mno na kujaribu kushauri kindezi kabisa ama kukosoa kila anachoongea Lissu
Kundi hili ndio lile lililokuwa likijiapiza kuwa Lissu kamwe hawezi kurudi nchini na akithubutu kufanya hivyo ni moja kwa moja selo...hizi tabiri na haya maapizi vyote vimedunda... Lissu is at large..health n sound...!!! Fully energetic...!!!
Zikafuatia shauri na tabiri kuwa hawezi kamwe kuchaguliwa na chama chake kupeperusha bendera ya CDM kwenye kinyanga'anyiro cha urais..fitina, uzushi na mazingaombwe vilikuwa vingi mno...hatimaye kachaguliwa sasa wamebadili gia angani wamegeuka washauri
Chadema sio cha porojo na maneno mingi...wanajua kwanini wamemchagua Lissu. Ambaye ni mwanasheria nguli ngumu sana kumshinda...mpanga na mpangua hoja makini anayejua kwa hakika anachofanya.
Tunatumia nguvu nyingi kumshauri na kumkosoa mtu ambaye kwasasa ni international figure akiwa kafanya press conference nyingi za kimataifa na kuhudhuria interviews nyingi ambazo amezifanya kwa mafanikio makubwa.
Ndugu yangu wewe kachala uko ghetto na bundle ya msaada uliyefeli hata interview ya who are you unajaribu kumshauri mtu aliyekuzidi kila kitu?
Kuna wakati ni sahihi watu kuandika mitazamo na mawazo yao lakini isifike ukampangia mtu cha kusema ama cha kufanya...kila mmoja ana hulka yake...na hulka hazifanani hata kama nyie ni pacha.
Kwa nyakati tulizonazo kwenye hizi siasa za Tanganyika...hatuhitaji tena mtu linient..ni lazima awepo mmoja mahiri ambaye ni hardcore hasa....waswahel wanaita chuma cha pua.
Lissu ni hardcore na ni fearless...tanuri alilopitia limemuongezea ujasiri wa ajabu..amekuja kwa nyakati sahihi na muda anaotakiwa hasa....kwa siasa hizi za Lissu jina la NYUMBU LITAKOMA.
mungu janja janja ...mungu wa kabari na bisibisi mungu wa tofali la kisogo...nyakati sio rafiki tena...sasa ni bandika bandua hoja kwa hoja.....msiwe busy kushauri mpaka mkasahau kuoga.
Kundi hili ndio lile lililokuwa likijiapiza kuwa Lissu kamwe hawezi kurudi nchini na akithubutu kufanya hivyo ni moja kwa moja selo...hizi tabiri na haya maapizi vyote vimedunda... Lissu is at large..health n sound...!!! Fully energetic...!!!
Zikafuatia shauri na tabiri kuwa hawezi kamwe kuchaguliwa na chama chake kupeperusha bendera ya CDM kwenye kinyanga'anyiro cha urais..fitina, uzushi na mazingaombwe vilikuwa vingi mno...hatimaye kachaguliwa sasa wamebadili gia angani wamegeuka washauri
Chadema sio cha porojo na maneno mingi...wanajua kwanini wamemchagua Lissu. Ambaye ni mwanasheria nguli ngumu sana kumshinda...mpanga na mpangua hoja makini anayejua kwa hakika anachofanya.
Tunatumia nguvu nyingi kumshauri na kumkosoa mtu ambaye kwasasa ni international figure akiwa kafanya press conference nyingi za kimataifa na kuhudhuria interviews nyingi ambazo amezifanya kwa mafanikio makubwa.
Ndugu yangu wewe kachala uko ghetto na bundle ya msaada uliyefeli hata interview ya who are you unajaribu kumshauri mtu aliyekuzidi kila kitu?
Kuna wakati ni sahihi watu kuandika mitazamo na mawazo yao lakini isifike ukampangia mtu cha kusema ama cha kufanya...kila mmoja ana hulka yake...na hulka hazifanani hata kama nyie ni pacha.
Kwa nyakati tulizonazo kwenye hizi siasa za Tanganyika...hatuhitaji tena mtu linient..ni lazima awepo mmoja mahiri ambaye ni hardcore hasa....waswahel wanaita chuma cha pua.
Lissu ni hardcore na ni fearless...tanuri alilopitia limemuongezea ujasiri wa ajabu..amekuja kwa nyakati sahihi na muda anaotakiwa hasa....kwa siasa hizi za Lissu jina la NYUMBU LITAKOMA.
mungu janja janja ...mungu wa kabari na bisibisi mungu wa tofali la kisogo...nyakati sio rafiki tena...sasa ni bandika bandua hoja kwa hoja.....msiwe busy kushauri mpaka mkasahau kuoga.