Yaani huyo Riz ndio mkuu wa washauri wa Rais huyo akisema limekubalika kalagha bao na ubishi wako.Riz1 huyu ni mwanae anaangukia katika kundi la wasio rasmi; Januari Maakmba yeye ni rasmi? katika nini....please tuwe serious tuelimishane.
Mtu akizidiwa na muwasho ndio anaanza kupoteza fahamu hivi? Hebu jaribu kumuona daktari plz
Ndio anayekushauri kupora wake za watu na ww unatekeleza bila kushirikisha ubongo wako??Bora sugu ni mbunge,waziri kivuli sio Ray-C mtumia madawa ya kulevya
Hebu tutajie washauri wakoha ha ha...we unachotaka kusikia ni nini?? huyu ndo mshauri ninayemjua..kama una majibu yako yaweke hapa. Si kukurupuka ka WASIRA kashtuka usingizini bungeni......
Baba yako ndio mwenyekiti wa hao wapiga ramli ndio aliyekupa hiyo ratiba?Wapiga RAMLI ndio washauri wake wakubwa; kila wiki wapo nyumbani kwake Msoga!!!
Baba yako ndio mwenyekiti wa hao wapiga ramli ndio aliyekupa hiyo ratiba?
Baba yako ndio mwenyekiti wa hao wapiga ramli ndio aliyekupa hiyo ratiba?
No! Mi nadhani JK anashaurika, ila washauri ni watu wasiomakini. Waliosomea nje ya nchi na kupewa kazi za ku-copy na ku-paste!
Ndio anayekushauri kupora wake za watu na ww unatekeleza bila kushirikisha ubongo wako??
Hivi mshauri wa slaa kwenye mambo ya kindoa na kifamilia ni nani??