Ndo maana soka la England litakua likiishia ''knock out stages' au robofainali.
Haina tofauti na mambo yanayofanyika hapa kwetu U simba na yanga. In our own dreams ndo tutakua tukishinda major tournaments as a nationala team. Vilabu pia vina-infuence national team,,,,sigh
Huna lolote wewe! Ni Club ya nchi gani inayoshikila Kombe la UEFA kwa sasa, Toks 2007 timu za Uingereza zimetinga fainali ya UEFA mara 4 na kuchukua Kombe mara2. Marefa huwa wanafanya makosa, ni kawaida tu
tehee, limekuuma hilo huh, jamaa kawauliza tu kasema hivi let me help him (mashabik wa manutd et ni kweli?) , et kwan anaonaje, refa aliwabeba kwan uwongo? kwan we ulionaje, mnaniudhigi nyie mnojifanya hamuoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.