Wameuza hisa zao kwa kampuni iitwayo "Sky Group Associates Ltd"
Msauzi asema serekali ya Tanzania imeshindwa kuhakikisha usalama wa mgodi wao (block c) na pia sheria mpya ya madini haina tija kwao
Stamico wabaki kwenye mataa na asilimia 50% yao
Swali la msingi hapa ni je hii kampuni iliyonunua hisa za wasauzi 'Sky Group Associates Ltd' ni akina nani?
Je wanaona faida pale wasauzi walipoona hasara?
Kuna harufu ya wasauzi kufanyiwa hila hadi wakaamua kuuza hisa zao.
Yawezekana aliyewafanyia hila ndio mnunuzi wa hisa zao
http://m.miningweekly.com/article/r...nzania-assets-2014-12-05#.VIdwvG3-a34.twitter
Msauzi asema serekali ya Tanzania imeshindwa kuhakikisha usalama wa mgodi wao (block c) na pia sheria mpya ya madini haina tija kwao
Stamico wabaki kwenye mataa na asilimia 50% yao
Swali la msingi hapa ni je hii kampuni iliyonunua hisa za wasauzi 'Sky Group Associates Ltd' ni akina nani?
Je wanaona faida pale wasauzi walipoona hasara?
Kuna harufu ya wasauzi kufanyiwa hila hadi wakaamua kuuza hisa zao.
Yawezekana aliyewafanyia hila ndio mnunuzi wa hisa zao
Richland confirms signing agreement, escrow payment for Tanzania assets
5th December 2014 BY: NATASHA ODENDAAL
JOHANNESBURG (miningweekly.com) – Richland Resources on Friday announced the receipt of the signing consideration and the payment of an escrow amount as the $5.1-million sale of its tanzanite mining and beneficiation business and tsavorite licence interests in Tanzania to Sky Associates Group progressed.
The Aim-listed group received a $510 000 signing consideration – 10% of the initial consideration – from Sky, while a further $510 000 went into an escrow held by the company's solicitors payable on satisfaction of the various conditions in the sale agreement.
The sale remained subject to approval by shareholders, the Minister of Energy and Minerals of the Republic of Tanzania and the South African Reserve Bank.
http://m.miningweekly.com/article/r...nzania-assets-2014-12-05#.VIdwvG3-a34.twitter