mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika Marehemu Kanumba kaondoka na wasanii walibaki wameshindwa kabisa kuziba pengo lake.Kumbe Marehemu Kanumbi ndio aliibeba tasnia ya filamu.Nilitegemea kina JB, Ray , Wema na wengineo wangeendeleza mema yote aliyoyaacha Marehemu Kanumba , badala yake wamekuwa wapiga debe kwenye vyama vya siasa ambavyo navyo vimewatupa sijui watafanya kazi gani.