Wasanii watano (5) greatest of all time

Wasanii watano (5) greatest of all time

1. Fid Q
2. Prof Jay
3. Mwana FA
4. Ngwair
5. Nikki Mbishi

By the way namkubali sana one the incredible pia.
 
Afande Sele
Profesa J
Mr2
Juma Nature
 
Niki mbishi hawezi kuwemo kwenye top 5 halafu hakuna jay mo wala mwana fa

Wacha tu niheshimu mawazo yako😂
 
Hawa ndio wasanii 5 wa Hip hop bora wa muda wote

1. Afande sele- Rhymes king namuita genious
2. Proffesor jay- Real life bars legend
3. Fid Q- Analytical and critical thinker
4. Sugu- Activist / Hustler
5. Nick Mbishi - with this guy rap is always easy

Nipe yako
MAN GWAIR
 
Naheshimu mawazo ya Kila aliechangia hapa Kwa kitoa list zenu Kwa Kila mmoja anavoamini yeye

ila nachojua Mimi ni kwamba Kwa miaka hii miwili na kuendelea tangu fid q aingie vacation ya kutoa ngoma na tokea Niki mbishi aanze kuwa haeleweki sijaiona msanii wa kumtoa Dizasta vina

Ukipata time msikilize aisee dogo Yuko mbele ya muda sana, na kuanzia Sasa hakuna best story teller kama yeye, ukiskliza album yake ya The Verteller aisee ni complete package, hakuna kitu hajaongelea na sio kuongelea tu bali very deep

Kwa Heshima niliyonayo Kwa hao ma Malegend naimani hip-hop ipo katika mikono salama kwa wadogo zao hasa Hawa ambao nimefanikiwa kuwafatilia, wako mbele ya muda sana
1. Dizasta vina
2. Mex Cortez
3. Conboi
 
1. Rose Muhando
2. Professor Jay
3. Christina Shusho
4. A.Y
5. Mwana FA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom