adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,950
- 23,092
Mashairi ya Skide kuntu sana lazima ucheke tatizo mibange na mipombe inamuharibuKuna jamaa anaitwa Pasha.. He's so good asee kwenye mashairi ya mahaba. Kuna Dogo mmoja anaitwa S Kide. Yule dogo with sincerely heart Nakubali anakipaji kikubwa cha kutunga mashairi kwa kufuata urali wa vina na mizani. Tatizo dogo kaweka Uhuni/Usela nnya na Bangi mbele..
Kama kuna mtu yupo karibu nae amshauri abadirike kwa kipaji kile sio wa kuimba upuuzi ule (Japo namsikiliza hvo hvo (