Jimmy George
JF-Expert Member
- Nov 28, 2016
- 1,733
- 1,650
Habari wakuu,
Kwa sasa kumeibuka wimbi la wasanii wengi kutunga na kuimba nyimbo za kumsifia na kumpongeza Mhe. Rais Magufuli. Siyo tatizo ni vizuri kumpongeza ili kumtia moyo Rais wetu kuendeleza mapambano.
Mimi binafsi naona kama ni wabaguzi na wanafiki, kwa sababu katika marais ambao walikuwa karibu na wasanii alikuwa ni Rais mstaafu Kikwete. Mara kadhaa amewaita Ikulu, aliweka tararibu za namna ya kulinda kazi zao na pia alitoa fedha kwa ajili ya kuwajengea studio. Lakini sijawahi kusikia hata wametunga nyimbo kumsifia kwa lolote zaidi ya kipindi chake waliweza kutunga nyimbo za kusisitiza kulinda muungano na umoja.
Kwa sasa kumeibuka wimbi la wasanii wengi kutunga na kuimba nyimbo za kumsifia na kumpongeza Mhe. Rais Magufuli. Siyo tatizo ni vizuri kumpongeza ili kumtia moyo Rais wetu kuendeleza mapambano.
Mimi binafsi naona kama ni wabaguzi na wanafiki, kwa sababu katika marais ambao walikuwa karibu na wasanii alikuwa ni Rais mstaafu Kikwete. Mara kadhaa amewaita Ikulu, aliweka tararibu za namna ya kulinda kazi zao na pia alitoa fedha kwa ajili ya kuwajengea studio. Lakini sijawahi kusikia hata wametunga nyimbo kumsifia kwa lolote zaidi ya kipindi chake waliweza kutunga nyimbo za kusisitiza kulinda muungano na umoja.