Wasanii wakali wasio na tuzo binafsi Bongo

Wasanii wakali wasio na tuzo binafsi Bongo

ChizzoDrama

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2019
Posts
1,317
Reaction score
1,235
Nadhani kichwa kinasomeka vyema.

Haya mi naanza na hawa wawili

1. JUMA NATURE - Ikumbukwe huyu anayo ile ya channel O pekee, licha ya ukubwa na ngoma kali zote unazozijua ameshiriki kwa namna moja au nyingine lakini hana hata tuzo moja ya hapa nyumbani.

2. BELLE 9 - Hakuna mwenye akili timamu aliye na mashaka na talanta ya huyu jamaa sasa sijui ndiyo ule usemi wa "NABII HAKUBALIKI KWAO"

Ongeza wako unao wafahamu wakali na hawana tuzo

Let's go...
 
Country Boi
Paka Rapa
Mr BLUE
Baba Levo (kidding)
 
Tuzo zenyewe si zilishajifia??
 
Back
Top Bottom