Wasanii wa Bongo wana safari ndefu sana

Wasanii wa Bongo wana safari ndefu sana

hiki kizaz hakitak mambo ya live, nyie wahenga mlale2 huu mchezo hauhtaj hasira
 
Kinachowashinda wasanii wetu ni ubunifu wakati wanaperform stejini...mtu anaimba nyimbo kama tunavyoisikia kwenye redio...haongezi vionjo, hachezi, pumzi hamna...anachofanya ni kuwaambia mashabiki waimbe na kuwawekea mic...na kuwaambia wainue mikono juu kama watumwa.
 
Back
Top Bottom