McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Umewahi kununua kazi yoyote ya msanii wa ndani ili kumuunga mkono?huu utaratibu ku-download nyimbo bure na kununua hata merchandise za wasanii hatutaki basi tusahau kuwaona na maisha hayo.
Umewahi kununua kazi yoyote ya msanii wa ndani ili kumuunga mkono?huu utaratibu ku-download nyimbo bure na kununua hata merchandise za wasanii hatutaki basi tusahau kuwaona na maisha hayo.
Teh teh..Inaonekana una imani sana na huyo jamaaCelebrity so far ambaye ni tajiri in future kama akitaka na idriss. Anachotakiwa kufanya aanze suth africa akamuone Noah, then amtafute Chriss Tucker Holywood. Akope hata pesa hata mimi nitamchangia dola mia ya nauli akitaka kwenda USA Hollywood.
Mbona Smith hana hela ndefu hata kidogo.. with comparison to U.S celebrity.. Eg Tiger Wood, Pdiddy, JayZ, Dr. Dre, MayWeather, King James, etc..
mhh, akati kilakitu anacopy trevo noah, anatakiwa awe mbunifu kwanza
Bilionea unafikiri unaanzia umiliki wa bilioni ngapi??tuanzie hapa kujibu swali lakoWill Smith ni Billionaire?
mojaBilionea ni
Bilionea unafikiri unaanzia umiliki wa bilioni ngapi??tuanzie hapa kujibu swali lako
DefamationAlipata nusu billioni kahonga zote,saiv ni mtangazaji wa redio analipwa lakitano per month