kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Mfano, Cosmas Chidule aliimba nyimbo nzuri kuhusu makao makuu Dodoma, lakini aliiharibu kwa kuitaja CCM kwakuwa wakati anaitunga nchi ilikuwa ya chama kimoja. Ziko nyimbo za furaha, huzuni na matukio ambazo wasanii wetu wanafanya kazi kubwa ya kuzitunga lakini zinageuka big G baada ya muda mfupi, hazidumu.
Nyimbo zote zinazotaja mwaka na majina ya watu, vyama vya siasa na vitu lazima uwe mwangalifu sana. Mfano, kama unatunga wimbo kuusifia mti wa mbuyu pale mbuyuni, itakuwaje kwa wimbo wako kama ule mbuyu ukikatwa au kuanguka na kutoweka kabisa pale?
Nyimbo zote zinazotaja mwaka na majina ya watu, vyama vya siasa na vitu lazima uwe mwangalifu sana. Mfano, kama unatunga wimbo kuusifia mti wa mbuyu pale mbuyuni, itakuwaje kwa wimbo wako kama ule mbuyu ukikatwa au kuanguka na kutoweka kabisa pale?