Wasaidizi wa Rais, Please Msaidieni Rais Wetu Kwenye Public . Msimuachie Kila Kitu Peke Yake! .

Shukuru wewe unagombezwa via vyombo vya habari.

Ulishawahi kujiuliza wale anaokaa nao tangu ameapishwa kuwa Rais wamegombezwa au kupigwa makofi kabisa mara ngapi, usisahu kipigo cha mama jesca , hadi akalazwa Muhimbili.
Shukuru wewe unagombezwa via vyombo vya habari.

Ulishawahi kujiuliza wale anaokaa nao tangu ameapishwa kuwa Rais wamegombezwa au kupigwa makofi kabisa mara ngapi, usisahu kipigo cha mama jesca , hadi akalazwa Muhimbili.
yaani hao kama wakichunguzwa vizuri wanaweza kukutwa binadamu wasio na furaha kuliko wote Africa mashariki
 
Humu hatuna mda wa kumshauri Rais,tutakuwa tunampa makavu LIVE uzuri anapenda USHILAWADU kila siku atakuwa anachezea za uso humu na kuumia kwa stress.Hatucheki na kima humu.'where we dare to speak openly'
 
Wanabodi,

Nimeangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinacharushwa Live na Star TV kila Jumamosi asubuhi. Namshauri Dialo atafute muda kipindi hiki kirudiwe jioni wakati wa prime time ili wengi waone.

Kipindi cha leo kusema ukweli muongozaji Dotto Bulendu na Ansbert Ngurumo wameitendea haki tasnia ya Habari dhidi ya vitisho vilivyotolewa jana na rais Magufuli.

Naomba nisiingie ndani sana kuhumu Ngurumo na Bulendu walisema nini kuhusu rais kutaka kuipangia media nini cha kuandika, mimi najikita kwa watu ambao ni wasaidizi wa rais wanajukumu la kumsaidia.
Haya chini ni yangu.

Tanzania ni nchi yetu sote na sio nchi ya mtu mmoja, japa Tanzania ya sasa ni Tanzania ya Magufuli kama ilivyo Darisalamu ya Makonda.

Rais Magufuli ni kiongozi wetu, ni rais wetu, kutokana na kuwa yeye ndiye rais, taasisi ya urais ndiyo ni mamlaka kuu kiutawala kuliko mamlaka nyingine zote, ila pia Magufuli ni binadamu, sio malaika, hawezi kufanya kila kitu yeye peke yake ndio maana amewekewa wasaidizi mbalimbali wakiwemo washauri.

Kunawakati rais kama rais anatoa matamko tata au maamuzi tata yanayoashiria kuwa rais hakupewa ushauri sahihi kabla, kisha waziri wake anakuja kuibuka baadae na kuirekebisha kauli ya rais kwa kuifuta na kuweka mambo sawa.

Mfano mzuri ni siku ile rais alipotoa tangazo hili
Rais Kusitisha Uzazi wa Mpango Kwa"Fyatueni Watoto wa Kutosha",Ni ...
kisha waziri wake akaja kuibatilisha kauli hii kwa kusema rais alikuwa anatania tuu watani zake. Rais anapozungumza kwenye hotuba inayotangazwa moja kwa moja kwa taifa zima na akatangaza jambo fulani, hii maana yake ni kulitangazia taifa. Sijadhani kama Watanzania walichagua rais Msukuma ili atoe maagizo kwa watani wake Wazaramo kwenye matangazo ya moja moja mubashara ya kulitangazia taifa zima. Kauli yoyote ya rais ni sheria.

Rais kama binadamu na kama Msukuma ana haki ya kutaniana na watani zake Wazaramo vyovyote vile ataona inafaa, lakini utani huo ama autolee kwa Wazaramo wwnyewe na sio mubashara kwa taifa zima, na utani kama huu ukitolewa kwenye matangazo mubashara ya moja kwa moja kwa taifa zima, then rais akiishatoa utani kama huo amalizie kwa kusisitiza ni utani tuu au kwa Wazaramo tuu.

Kuna vitu rais wetu anasema au anafanya vinavyoashiria amekosa ushauri sahihi.

Mfano mzuri ni issue ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda, hii issue imekuwa too much mishandled hadi kumchafulia rais na kumjengea chuki ndio maana kwenye mitandao ya kijamii watu wamekasirika sana hadi kumkosea heshima na kutoa lugha za machukizo.

Japo mimi sio mtu wa serikali, bali naamini Wakuu wa Utumishi wa Umma wote popote walipo ni wasaidizi wa rais. Wasaidizi wa rais wanaoaswa kuwa pro active kumsaidia rais wakali wote na sio kusubiri hadi waulizwe rasmi ndipo wasaidie.

Kadhia ya Paul Makonda kutumia vyeti ya kughushi na kufanya udanganyifu ilipoibuka tuu, kabla haijafikia stage ya kumchafulia rais, wasaidizi wa rais wanaohusika walipaswa kujitokeza wao na kumweleza rais ukweli kuwa ni kweli Paul Makonda ndie Daud Albert Bashite na yote yanayosemwa kumhusu mtu huyu ni ukweli kabisa hivyo wangemshauri the right thing to do, hili jambo lingekuwa limekwisha, lakini kumfukuza Waziri Nape kwa hasira na kuendelea kunyamaza as if nothing has happened, hukuwezi kusaidia kitu kuondoa hizo negative perception. Solution ya kudumu ni kuja na ukweli tuu. He has to tell the truth and the truth will set him free. Nikimaanisha baada ya ukweli kujulikana kuwa Daud Albert Bashite ndiye Paul Christian Makonda, then kwa wanaoujua ukweli huu kuwa Daud Albert Bashite ndiye Paul Christian Makonda, kwao he will always be Daud Albert Bashite, and never will he be Paul Christian Makonda, na huyu Paul Makonda he is an imposter!. Na kwa wale wote wanaomfahamu Paul Christian Makonda as Paul Christian Makonda, wataendelea kumfahamu kama Paul Makonda but with much skepticism and reasonable doubt kuwa could he be the real one or ni imposter hadi tuhuma zile zikanushwe rasmi kuwa ni uongo na uzushi!.

Tukija kwenye tukio la uvamizi wa Clouds Radio, Msaidizi wake Nape did the right thing kwa ku come forward na kusema wazi ule ni unajis wa mtu binafsi na sio serikali. Japo kuunda tume wasn't the right approach Nape kama Msaidizi wa rais ambaye ni Waziri, Makonda ni bwana mdogo sana kwake, angemkabili kuupata ukweli yeye and go straight kwa rais kumpa first hand information na kumwachia rais kufikia uamuzi.

Rais angekuwa ameshauriwa vuzuri na wasaidizi wake wanaoujua damage control, wangemshauri rais kuwa dogo ame mess, hivyo ili kulipa millage ya kutosha tukio la rais wa Benki ya Dunia, rais hakupaswa kusema chochote kumhusu huyo dogo. Tukio la uvamizi wa RC kwenye Chumba cha Habari ni tukio kubwa kuliko hata Benki ya Dunia ingehamishia strong room yake pale ikulu kutokana na proximity na impact ya news ya uvamizi.

Juzi asubuhi rais anafanya uteuzi mpya kwa hasira bila kutengua uteuzi wa zamani, kisha akaenda bandarini kwenye ziara ya kushtukiza. Huku nyuma akatokea kichaa mmoja kumtishia bastola waziri wake aliyetumbuliwa. Kihabari yaani ki newsworthyness, tukio la waziri kutishiwa bastola na kichaa fulani ni bigger news kuliko rais kutembelea bandarini.

Kwa vile rais hakufurahishwa jinsi media haikutoa umuhimu stahiki kwa matukio ya msingi yenye umuhimu mkubwa sana kwa taifa, na yeye pale ikulu anayo kurugenzi yake ya habari, lilikuwa ni jambo dogo tuu hata kuteta na Msigwa kwa kumuuliza hivi hii inakuwaje, Msigwa angemweleza tuu ukweli what was news kuliko rais kuonyesha hasira kwa media.

Wasaidizi wa rais wa kila eneo wana wajibu wa kumsaidia rais wetu kwa kumshauri kufanya uamuzi sahihi na kumwachia rais kufanya uamuzi wowote ila sisi kama Watanzania tuna shauku ya kumuona kila wakali rais wetu akifanya na kutenda the right thing at the right time and doing it right. Handling ya Makonda-Bashite-Nape Thing was a wrong thing, done at at a wrong time and done wrongly!.

Washauri wa rais mko wapi na kumuona rais wetu anasema na kutenda as if hana washauri?! .
Sisi jf tutaendelea kushauri kwa lengo la kujenga.

Kuhusu uhuru wa rais wetu kushauriwa, kupokea ushauri na kusema lolote, tulilizungumza hapa https://www.jamiiforums.com/threads...-na-anashauriwa-vizuri-tuu-ila.1107899/page-2

Tanzania ni yetu sote na rais Magufuli ni rais wetu wote.
Mungu Ibariki Tanzania.
Jumamosi njema.
Paskali
Paskali uko sawa, lipo jingine ambalo Rais anahitaji kufahamishwa zaidi, ni suala la mchanga unaosafirishwa kwenda nje ili kupata madini mengine..sikubaliani na mtizamo wa Rais katika hili kutokana na yafuatayo:
1. Nchi ambayo mchanga unapelekwa ni Japan, labda kama kuna nchi nyingine siifahamu lkn kwa kadri ya kumbukumbu zangu ni Japan peke yake ndiyo inayo teknolojia ya kutenganisha hayo madini yanayobaki baada ya kutoa dhahabu, sasa ni vzr kujiuliza hata hivyo kabla hujawatuhumu watu, tujiulize yafuatayo, ni wapi Japan imehusishwa na uhalifu wowote nchi yoyote? hata tu raia zake..wapi?? Japan ni kati ya nchi zinazotusaidia katika mambo mengi, je ni sawa kwao kushiriki kutuibia madini yetu kana kwamba wanachopata kwny dili hiyo ni kingi sana kuzidi misaada wanayotoa kwetu..hakuna sehemu yoyote ambayo wenye teknolojia hii wamekubali kuweka mitambo hii kwny nchi zinazochimba dhahabu, nchi zote zinapeleka huko kwao(Japan)..lakini lbd tuangalie mfano huu hivi mkulima wa mahindi akipata mahindi mengi msimu fulani na akataka kuyakoboa apate unga lakin mashine ya kusaga unga hana, ni sawa kufikiri kwamba akienda kwa mwenye mashine ya kusaga kumshawishi ang'oe mashine yake ailete shambani kwake lazima mwenye mashine akubali??? sidhani..anaweza kataa hasa kwa sababu ya continuity, hakuna uhakika wa mwenye shamba kuendelea kulima mahindi siku zote, itakuaje siku amebadilisha akaamua kulima karanga, mashine zitafanya kazi gani..ndio maana wajapan hawataki kupeleka teknolojia yao popote wanapochimba dhahabu..kama hutaki kupeleka mchanga kwao acha..! kwa hiyo mimi sidhani km Tz inaibiwa kwny kupeleka mchanga huko..lkn pia si sawa Rais kurudia kushutumu kwamba tunaibiwa ilhali nchi kunakopelekwa mchanga ni Japan..Japan wanajisikiaje wanapomsikia Rais anawatuhumu kula njama na makampuni ya dhahabu kutuibia????
Rais hana kosa, tatizo ni wale washauri wake, lkn hata km hawasikilizi pengine ni vile ameingia madarakani kukiwa na historia mbaya ya utendaji serikalini hana imani na yeyote! kuondoa hili tatizo tusibaki kumlaumu Rais, tushinikize hizo taasisi zinazomshauri rais ikulu watu wake wabadilishwe kila anapoingia Rais mpya!!! there's no superman in this world! katiba itamke Rais anapoingia ikulu aingie na watu wapya wote..haiwezekani mtu yukpo ikulu zaidi ya miaka 20 unategemea nini, na kwa kweli kwa mtu anayefanya kazi inavyopaswa na kwa nature ya kazi za hapo ikulu, miaka mitano ni mingi sana..ataomba yeye mwenyewe kupumzika! ila kwa msindikizaji hiyo ni ndoto..anachoona yeye ni maslahi zadi na si kazi..kumekuwa na makosa makosa mengi sana kwa watu wa ikulu kwa kipindi hiki, WABADILISHWE! tuone km bado Rais ataendelea kutuhumu watu pas na kujua athari za tuhuma hizo!
 
Kuwa mbayu wayu utamuelewa Pascal .msikilize anacho eleza alafu changanya na akili yako
Inabidi uwe GT kuelewa maandiko yake. Kuna wakati anaandika straight na kuna wakati inabidi kusoma na kuelewa kinyume nyume. Lakini upande anaosimamia haujawai kubadilika toka aanze kuandika kuhudi hii administration
 
Kweli hili la mchanga linahitaji debate ambayo ni Objective. Tunajua mchango wa gold kwenye forex. Tunajua tz ina mikataba tata kwenye hii sector. Lakini na kivutio cha uwekezaji ni pamoja na kuiheshimu. Tumekuwa tukisikia kuwa hii mikataba ni ya hovyo lakini je tunachokifanya ni solution ya muda mrefu? Do we have options? Tuna mpango upi mbadala? Au timeamua kuacha madini ardhini kama tushauriwavyo na wanaharakati wa mazingira?
Paskali uko sawa, lipo jingine ambalo Rais anahitaji kufahamishwa zaidi, ni suala la mchanga unaosafirishwa kwenda nje ili kupata madini mengine..sikubaliani na mtizamo wa Rais katika hili kutokana na yafuatayo:
1. Nchi ambayo mchanga unapelekwa ni Japan, labda kama kuna nchi nyingine siifahamu lkn kwa kadri ya kumbukumbu zangu ni Japan peke yake ndiyo inayo teknolojia ya kutenganisha hayo madini yanayobaki baada ya kutoa dhahabu, sasa ni vzr kujiuliza hata hivyo kabla hujawatuhumu watu, tujiulize yafuatayo, ni wapi Japan imehusishwa na uhalifu wowote nchi yoyote? hata tu raia zake..wapi?? Japan ni kati ya nchi zinazotusaidia katika mambo mengi, je ni sawa kwao kushiriki kutuibia madini yetu kana kwamba wanachopata kwny dili hiyo ni kingi sana kuzidi misaada wanayotoa kwetu..hakuna sehemu yoyote ambayo wenye teknolojia hii wamekubali kuweka mitambo hii kwny nchi zinazochimba dhahabu, nchi zote zinapeleka huko kwao(Japan)..lakini lbd tuangalie mfano huu hivi mkulima wa mahindi akipata mahindi mengi msimu fulani na akataka kuyakoboa apate unga lakin mashine ya kusaga unga hana, ni sawa kufikiri kwamba akienda kwa mwenye mashine ya kusaga kumshawishi ang'oe mashine yake ailete shambani kwake lazima mwenye mashine akubali??? sidhani..anaweza kataa hasa kwa sababu ya continuity, hakuna uhakika wa mwenye shamba kuendelea kulima mahindi siku zote, itakuaje siku amebadilisha akaamua kulima karanga, mashine zitafanya kazi gani..ndio maana wajapan hawataki kupeleka teknolojia yao popote wanapochimba dhahabu..kama hutaki kupeleka mchanga kwao acha..! kwa hiyo mimi sidhani km Tz inaibiwa kwny kupeleka mchanga huko..lkn pia si sawa Rais kurudia kushutumu kwamba tunaibiwa ilhali nchi kunakopelekwa mchanga ni Japan..Japan wanajisikiaje wanapomsikia Rais anawatuhumu kula njama na makampuni ya dhahabu kutuibia????
Rais hana kosa, tatizo ni wale washauri wake, lkn hata km hawasikilizi pengine ni vile ameingia madarakani kukiwa na historia mbaya ya utendaji serikalini hana imani na yeyote! kuondoa hili tatizo tusibaki kumlaumu Rais, tushinikize hizo taasisi zinazomshauri rais ikulu watu wake wabadilishwe kila anapoingia Rais mpya!!! there's no superman in this world! katiba itamke Rais anapoingia ikulu aingie na watu wapya wote..haiwezekani mtu yukpo ikulu zaidi ya miaka 20 unategemea nini, na kwa kweli kwa mtu anayefanya kazi inavyopaswa na kwa nature ya kazi za hapo ikulu, miaka mitano ni mingi sana..ataomba yeye mwenyewe kupumzika! ila kwa msindikizaji hiyo ni ndoto..anachoona yeye ni maslahi zadi na si kazi..kumekuwa na makosa makosa mengi sana kwa watu wa ikulu kwa kipindi hiki, WABADILISHWE! tuone km bado Rais ataendelea kutuhumu watu pas na kujua athari za tuhuma hizo!
li
 
Hapa nilipo namchambua sizonje huku kushoto na kulia kwangu wamekaa ma ofisa wa jeshi la Polisi.
I wish they could see ninachokifanya kwa bosi wao.
 
Wanabodi,

Nimeangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinacharushwa Live na Star TV kila Jumamosi asubuhi. Namshauri Dialo atafute muda kipindi hiki kirudiwe jioni wakati wa prime time ili wengi waone.

Kipindi cha leo kusema ukweli muongozaji Dotto Bulendu na Ansbert Ngurumo wameitendea haki tasnia ya Habari dhidi ya vitisho vilivyotolewa jana na rais Magufuli.

Naomba nisiingie ndani sana kuhusu Ngurumo na Bulendu walisema nini kuhusu rais kutaka kuipangia media nini cha kuandika, mimi najikita kwa watu ambao ni wasaidizi wa rais wanajukumu la kumsaidia rais wetu haswa katika public engagement na public interactions aseme nini na wapi na nini asiseme, akiachwa tuu kuendelea hivi anavyoendelea, we are heading to disastrous comments in future!.
Haya chini ni yangu.

JF Kujadili Watu Badala ya Kujadili Maendeleo.
JF tumelaumiwa kutumia muda mwingi kujadili watu badala ya kujadili maendeleo. Maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu na sii maendeleo ya vitu, na maendeleo hayo yanaletwa na watu na hayaletwi na vitu, hivyo hatua ya kwanza kabisa kabla kabla hata ya kufikiria hayo maendeleo, ni watu wenye kuyahitaji hayo maendeleo, na nani anayewaongoza kuyaleta, hivyo watu wana haki ya kumjadili kiongozi yoyote mwenye dhamana ya kuwaletea maendeleo, hata katiba imeanza kwa maneno "We The People.." ikimaanisha ni watu, hata demokrasia ni "of the people, by the people and for the people", yaani ni serikali ya watu, iliyochaguliwa na watu, na inaongozwa na watu, kwa manufaa ya hao watu, hivyo, watu ndio kila kitu, hata nchi, kitu muhimu kabisa ni watu, ndipo lije eneo etc, hivyo watu ndio kila kitu.

Tanzania ni nchi yetu sote na sio nchi ya mtu mmoja, japo Tanzania ya sasa inaitwa ni Tanzania ya Magufuli kama Darisalamu inavyoitwa Jiji la Makonda, haya ni majina tuu, kiukweli Tanzania ni ya Watanzania, na Darisalamu ni ya wana Darisalama, its the people who matters not nani anayeongoza.

Wasaidizi na Washauri wa Rais Wana Wajibu wa Kumshauri Rais ili Kumsaidia
Wasaidizi wa rais wa kila eneo wana wajibu wa kumsaidia rais wetu kwa kumshauri kufanya uamuzi sahihi na kumwachia rais kufanya uamuzi wowote ila sisi kama Watanzania tuna shauku ya kumuona kila wakali rais wetu akifanya na kutenda the right thing at the right time and doing it right. Handling ya Makonda-Bashite-Nape Thing was a wrong thing, done at at a wrong time and done wrongly!.

Washauri wa rais mko wapi na kumuona rais wetu anasema na kutenda as if hana washauri?! .
Sisi jf tutaendelea kushauri kwa lengo la kujenga.

Kuhusu uhuru wa rais wetu kushauriwa, kupokea ushauri na kusema lolote, tulilizungumza hapa Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila...

Tanzania ni yetu sote na rais Magufuli ni rais wetu wote.
Mungu Ibariki Tanzania.
Jumamosi njema.
Paskali
Huu ni muendelezo wa ule wito kwa wasaidizi wa rais wetu, sio tuu kwenye hotuba, bali rais pia asaidiwe kwenye kupanga vipaumbele vyake, kwa maoni yangu vifo vya askari 8 vilikuwa ni muhimu zaidi kwa rais kuhudhuria na hata bendera kupepea nusu mlingoti.

Mwaka 1979 baada ya vita vya Kagera, kwenye ile parade ya mwisho Marubani wawili Capt. Saidi Karama na Capt. Abdala Kikinda waliripoti hitilafu ya kiufundi ya ndege vita ikiwa angani na ilianza kuangukia uwanja wa taifa full packed, ila wakatumia maneuvers na kuiangushia uwanja cha Chuo cha Ualimu. Kwa kawaida ndege hizo zina eject system ya "abandon & eject" ambapo Marubani wangesalimika lakini walijitolea kufa kunusuru maisha ya watu. Hawa walitangazwa mashujaa na Mwalimu Nyerere na bendera tulipepeza nusu mlingoti siku ya mazishi yao.

Pamoja na umuhimu wa mabweni yale, event hii ni static na haina time frame. Kuagwa kwa askari wale ni dynamic event with specified time frame.

Hata kwa jinsi rais wetu alivyo handle janga la Tetemeko la Bukoba it was mishandled na kuwa displeasing to many.
Mhe. Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, "Sema Neno Moja Tuu, na Roho Zetu Zitapona!"
Hivyo wasaidizi wa rais lazima mumsaidie rais watu kupanga priorities zake, hili likifanyika, you never know kuna uwezekano wasaidizi wake wa mambo ya siasa wakamsaidia rais wetu kuona umuhimu wa katiba ambayo sio priority yake.

Wasalaam Jumatatu njema ya Pasaka.

Pasakali
Update.

Naendelea kuwasisitiza wasaidizi wa rais wetu wana wajibu wa kumsaidia. Anapopewa zile daily briefings, pia wamweleze kuna vitu vinafanywa illegally hivyo ni FYE only, hapaswi kuvisema.

Watu wanaojua wanaojua simu zinadukuliwa, na kuwa tapped, barua zinafunguliwa, e-mails zinakuwa traced na movements zinakuwa tracked, miamala ya simu, benki inakuwa recorded. Ukisafiri chumba unacholala kinakuwa bugged hata frequent places zako unawekewa tails, na weakness yako kama ndie ule udhaifu wa ngozi nyeusi unawekewa implants za chambo ili ujinasishe mwenyewe, ili vitu hivi kamwe havipaswi kusemwa wazi tena of all the people sio na rais wa nchi!.

Tumsaidieni rais wetu jamani!.

Paskali
 

Naendelea kuwasisitiza wasaidizi wa rais wetu wana wajibu wa kumsaidia. Anapopewa zile daily briefings, pia wamweleze kuna vitu vinafanywa illegally hivyo ni FYE only, hapaswi kuvisema.

Watu wanaojua wanaojua simu zinadukuliwa, na kuwa tapped, barua zinafunguliwa, e-mails zinakuwa traced na movements zinakuwa tracked, miamala ya simu, benki inakuwa recorded. Ukisafiri chumba unacholala kinakuwa bugged hata frequent places zako unawekewa tails, na weakness yako kama ndie ule udhaifu wa ngozi nyeusi unawekewa implants za chambo ili ujinasishe mwenyewe, ili vitu hivi kamwe havipaswi kusemwa wazi tena of all the people sio na rais wa nchi!.

Tumsaidieni rais wetu jamani!.

Paskali
 
Wanabodi,
Tofauti kati ya Mtu anayeitwa John Pombe Magufuli na Rais John Pombe Magufuli.
Sii wengi wanaofahamu kuwa hawa ni watu wawili tofauti wenye jina moja na mwili mmoja. Mmoja ni mtu tuu kama mtu mwingine yoyote, anaweza kufanya chochote na kusema chochote, na huweza kukosea, huyu ni binaadamu. Huyu na mwingine Rais John Pombe Magufuli, sio mtu, ni taasisi ya urais, hawezi kusema chochote au kufanya lolote, bali huelekezwa na katiba, na hawezi kukosea ndio maana hawezi kushitakiwa, hata ile kinga ya rais kutokushitakiwa, inahusu utekelezaji wake wa majukumu yake ya kitaasisi ya urais na sii yeye kama mtu tuu. Ikitokea tunamjadili Magufuli, hatumjadili mtu anayeitwa John Pombe Magufuli, bali tunamjadili Rais Magufuli ambaye ni kiongozi wetu tuliyemkabidhi taasisi yetu ya urais, ambayo ndiyo ni mamlaka kuu kiutawala kuliko mamlaka nyingine zote, ndio maana amewekewa wasaidizi mbalimbali wa kumsaidia wakiwemo washauri.

Uhuru wa John Pombe Magufuli Kuongea Chochote, Popote na Kwa Yeyote.
Mtu anayeitwa John Pombe Magufuli, yuko huru kuongea chochote, popote na kwa yeyote, kama alivyo huru kula kitu chochote, popote, kunywa pombe yoyote na kulewa vyovyote, kwenda popote na kufanya jambo lolote kuhusu mapenzi yake binafsi ikiwemo kutazama vipindi vyovyote vya TV kikiwemo kipindi cha Shilawadu. Hakuna yoyote mwenye uhuru wa kujadili jambo lolote kumhusu mtu yoyote akiwemo John Pombe Magufuli, huku ni kuingilia uhuru wake wa his rights to privacy.

Uhuru wa Rais John Pombe Magufuli Kusema Chochote Popote na Yeyote.
Rais John Pombe Magufuli anakuwa hayuko huru kufanya chochote, kwenda popote, kula chochote, kunywa chochote, na anapoongea kama rais wa JMT, hapa yeye ni taasisi, hawezi kujiongea chochote tuu anachojisikia, popote na kwa yeyote, kwa sababu urais ni taasisi na mamlaka, hivyo kauli yeyote ya rais ni amri yenye mamlaka, authority. Hivyo hawezi tuu kujisemea chochote na popote na hapa ndipo anapohitaji wasaidizi wa kumsaidia aseme nini na wapi. Na hawa ni baadhi ya wasaidizi niliowapendekeza

Jee Aachwe Aseme Tuu, By "Taking The Bitter With The Sweet", Or Atumie Busara?!.
Jee Lazima Hotuba Zote za Rais Lazima Ziandikwe?.
No, sio lazima hotuba zote za rais lazima ziandikwe, hotuba nyingine katika shughuli zisizo rasmi, informal events, huibuka tuu impromptu, na hazijapangwa na hizi hazina tatizo. Ila kunapotokea shughuli zozote formal, na rais ataongea, lazima wasaidizi wake wamsaidie kumpangia ataongea nini, japo adlib kwenye hatuba zote ni jambo ambalo haliepukiki. Ila pia pamoja na uhuru wa raisi wetu kuongea chochote popote, yeye kama rais, anapoongea kama rais, hapa yeye ni taasisi, hivyo anawajibu wa kuchunga sana kauli zake kwa sababu huyu sasa sio Magufuli tuu kama Magufuli mtu, bali ni Magufuli kama rais Magufuli wa JMT, jambo lolote analoongea akiwa live, anawaambia Watanzania wote.

Washauri Mshaurini Rais Magufuli Kutenganisha Anapozungumza, Kama Magufuli na Anapozungumza Kama Rais.
Washauri wa rais, lazima mumsaidie rais wetu awe na uwezo wa kutenganisha ni wakati gani anazungumza kama mtu binaadamu anayeitwa John Pombe Joseph Magufuli, na ni wakati gani anazungumza kama rais wa JMT, ambaye ni John Pombe Magufuli.

Mfano Mtu anayeitwa John Pombe Magufuli ni mpenzi wa kutazama Clouds TV, na ni mpenzi wa kipindi cha Shilawadu, hivyo yuko huru kupiga simu Clouds wakati wowote na kuwapongeza Clouds kwa kipindi chao kizuri cha Shilawadu na yeye kuelezea jinsi anavyokipenda kipindi hiki. Kwa vile kiko live nchi nzima, simu ya rais inapopokelewa, Tanzania nzima wanasikia, hivyo japo amepga simu kama Mtanzania mwingine yoyote mwenye mapenzi na Clouds, chochote atakacho sema, ni kulihutubia taifa kupitia Clouds TV, hivyo rais anapopiga simu clouds kuwapongeza kuwa anaangalia kipindi cha Shilawadu na anakipenda, ni kama anatuma ujumbe kwa Watanzania wote kuwa kipindi cha maana kuangaliwa ni Shilawadu, sasa kwa watu ambao walikuwa hata hawakijui, wakakitafuta na kuangalia kipindi kinachopendwa na rais wetu, this leaves much to be desired, tuna rais wa aina gani kama vipindi ambavyo rais wetu anapenda kuangalia ni shilawadu. Vitu kama hivi vinashusha hadhi ya taasisi yetu ya urais hivyo wasaidizi wake akiwemo msaidizi mkuu nambari one, lazima wamsaidie rais wetu kuweka mipaka kati ya mtu anayeitwa John Pombe Magufili na Rais John Pombe Magufuli, japo the dividing line is very thin.

Hii imepelekea kuna wakati rais kama rais anatoa matamko tata au maamuzi tata yanayoashiria kuwa rais hakupewa ushauri sahihi kabla, kisha waziri wake anakuja kuibuka baadae na kuirekebisha kauli ya rais kwa kuifuta na kuweka mambo sawa.

Wasaidizi na Washauri wa Rais Wana Wajibu wa Kumshauri Rais ili Kumsaidia
Wasaidizi wa rais wa kila eneo wana wajibu wa kumsaidia rais wetu kwa kumshauri kufanya uamuzi sahihi na sio kumwachia rais kufanya uamuzi wowote ila sisi kama Watanzania tuna shauku ya kumuona kila wakali rais wetu akifanya na kutenda the right thing at the right time and doing it right. Handling ya Makonda-Bashite-Nape Thing was a wrong thing, done at at a wrong time and done wrongly!.

Washauri wa rais mko wapi na kumuona rais wetu anasema na kutenda as if hana washauri?! .
Sisi jf tutaendelea kushauri kwa lengo la kujenga.

Kuhusu uhuru wa rais wetu kushauriwa, kupokea ushauri na kusema lolote, tulilizungumza hapa Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila...

Tanzania ni yetu sote na rais Magufuli ni rais wetu wote.
Mungu Ibariki Tanzania.
Jumamosi njema.
Paskali
Habari wanabodi,
Rais kutaja chanzo cha taarifa kiusalama sio hatari kwa mtoa taarifa?
Na rejea taarifa yake yakumtaja Prof. Mruma kama askari wa siri wakutoa taarifa tokea awali.
Naomba tujadili
Naendelea kusisitiza rais wetu lazima asaidiwe, kuna vitu vinaweza kusemwa in public, na kuna vitu havipaswi kusemwa hata kama vipo!.

Paskali
 
Naendelea na huu msisitizo wa wasaidizi wa rais wetu asaidiwe.
leo natoa u shauri rais wetu ni lazima atenganishe ni wakati gani atalihutubia taifa kama rais wa nchi na ni wakati gani atalihutubia kama Mwenyekiti wa CCM. Kitendo cha rais wa kufanya state event na kulihutubia taifa as Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu halafu ndani ya event anahutubia kama Mwenyekiti wa CCM na kuigeuza state event into CCM campaign conference na kupokea wanachama wapya, it's not only it's not fair, but it is wrong!.

Wasaidizi wa rais msaidieni rais wetu kutenganisha ni events gani atahutubia kama rais wa JMT na ni events gani atahutubia kama Mwenyekiti wa CCM.

Mkuu wa nchi anapokuwa fair, nchi inabarikiwa, anapokuwa unfair, nchi inalaaniwa. Baraka hizo la laana hizo zinasababishwa na kitu kinachoitwa karma, karma haijui cha mfalme, cha rais wa nchi or nani ni nani, karma inataka haki bin haki kutendeka, ile mockery ya kuwauliza madiwani wa CCM wanaotaka kwenda Chadema pia waje, it was uncalled for, I was wondering how mtu anayesema Shilawadu ndio the best TV show yake, this was a comedy, turning serious national events na ku insert comedy show inside, it's good kwa wapenzi wa comedy but very distasteful kwa wasiopenda comedy na maigizo kwenye serious matters.

Aambiwe na asaidiwe.

Paskali
 
Naendelea na huu msisitizo wa wasaidizi wa rais wetu asaidiwe.
leo natoa u shauri rais wetu ni lazima atenganishe ni wakati gani atalihutubia taifa kama rais wa nchi na ni wakati gani atalihutubia kama Mwenyekiti wa CCM. Kitendo cha rais wa kufanya state event na kulihutubia taifa as Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu halafu ndani ya event anahutubia kama Mwenyekiti wa CCM na kuigeuza state event into CCM campaign conference na kupokea wanachama wapya, it's not only it's not fair, but it is wrong!.

Wasaidizi wa rais msaidieni rais wetu kutenganisha ni events gani atahutubia kama rais wa JMT na ni events gani atahutubia kama Mwenyekiti wa CCM.

Mkuu wa nchi anapokuwa fair, nchi inabarikiwa, anapokuwa unfair, nchi inalaaniwa. Baraka hizo la laana hizo zinasababishwa na kitu kinachoitwa karma, karma haijui cha mfalme, cha rais wa nchi or nani ni nani, karma inataka haki bin haki kutendeka, ile mockery ya kuwauliza madiwani wa CCM wanaotaka kwenda Chadema pia waje, it was uncalled for, I was wondering how mtu anayesema Shilawadu ndio the best TV show yake, this was a comedy, turning serious national events na ku insert comedy show inside, it's good kwa wapenzi wa comedy but very distasteful kwa wasiopenda comedy na maigizo kwenye serious matters.

Aambiwe na asaidiwe.

Paskali
Sijui kama unaeleweka

Samaki anakunjwa akiwa mbichi
 
Naendelea na huu msisitizo wa wasaidizi wa rais wetu asaidiwe.
leo natoa u shauri rais wetu ni lazima atenganishe ni wakati gani atalihutubia taifa kama rais wa nchi na ni wakati gani atalihutubia kama Mwenyekiti wa CCM. Kitendo cha rais wa kufanya state event na kulihutubia taifa as Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu halafu ndani ya event anahutubia kama Mwenyekiti wa CCM na kuigeuza state event into CCM campaign conference na kupokea wanachama wapya, it's not only it's not fair, but it is wrong!.

Wasaidizi wa rais msaidieni rais wetu kutenganisha ni events gani atahutubia kama rais wa JMT na ni events gani atahutubia kama Mwenyekiti wa CCM.

Mkuu wa nchi anapokuwa fair, nchi inabarikiwa, anapokuwa unfair, nchi inalaaniwa. Baraka hizo la laana hizo zinasababishwa na kitu kinachoitwa karma, karma haijui cha mfalme, cha rais wa nchi or nani ni nani, karma inataka haki bin haki kutendeka, ile mockery ya kuwauliza madiwani wa CCM wanaotaka kwenda Chadema pia waje, it was uncalled for, I was wondering how mtu anayesema Shilawadu ndio the best TV show yake, this was a comedy, turning serious national events na ku insert comedy show inside, it's good kwa wapenzi wa comedy but very distasteful kwa wasiopenda comedy na maigizo kwenye serious matters.

Aambiwe na asaidiwe.

Paskali
Kweli
 
Naendelea na huu msisitizo wa wasaidizi wa rais wetu asaidiwe.
leo natoa u shauri rais wetu ni lazima atenganishe ni wakati gani atalihutubia taifa kama rais wa nchi na ni wakati gani atalihutubia kama Mwenyekiti wa CCM. Kitendo cha rais wa kufanya state event na kulihutubia taifa as Rais wa JMT na Amiri Jeshi Mkuu halafu ndani ya event anahutubia kama Mwenyekiti wa CCM na kuigeuza state event into CCM campaign conference na kupokea wanachama wapya, it's not only it's not fair, but it is wrong!.

Wasaidizi wa rais msaidieni rais wetu kutenganisha ni events gani atahutubia kama rais wa JMT na ni events gani atahutubia kama Mwenyekiti wa CCM.

Mkuu wa nchi anapokuwa fair, nchi inabarikiwa, anapokuwa unfair, nchi inalaaniwa. Baraka hizo la laana hizo zinasababishwa na kitu kinachoitwa karma, karma haijui cha mfalme, cha rais wa nchi or nani ni nani, karma inataka haki bin haki kutendeka, ile mockery ya kuwauliza madiwani wa CCM wanaotaka kwenda Chadema pia waje, it was uncalled for, I was wondering how mtu anayesema Shilawadu ndio the best TV show yake, this was a comedy, turning serious national events na ku insert comedy show inside, it's good kwa wapenzi wa comedy but very distasteful kwa wasiopenda comedy na maigizo kwenye serious matters.

Aambiwe na asaidiwe.

Paskali
Pascal eee, kwa hili nakubaliana na wewe, inagawaje alikuita mayala=Njaa. Hapo umeongea point mno, hivi hotuba ya marudio ya mambo yale yale kwa mwaka hawa wasaidizi hawaoni kuwa inachosha masikioni mwa watu? tunalilia sana madini wakati tunaweza kuachana nayo kwa muda kwa kuwa hayaozi tukajikita kwenye kilimo. Wakati jeshi letu halina vita , hili jeshi lingekuwa mfano bora wa kuonyesha mashamba yaliyolimwa kisasa kwa kutumia maji ya mito inayotililika nchi mzima tukaweza ku-export kilimo, hawa wasahauli wamekazana kuweka ugumu watu wasiende mjini wakati kijijini ndio balaa tupo panawaka. Shaurini tuachana na mikataba ya zamani ya ziwa victoria tutumie ziwa hili kwa kilimo cha umwagilaji.
 
Wanabodi,

Nimeangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinacharushwa Live na Star TV kila Jumamosi asubuhi. Namshauri Dialo atafute muda kipindi hiki kirudiwe jioni wakati wa prime time ili wengi waone.

Kipindi cha leo kusema ukweli muongozaji Dotto Bulendu na Ansbert Ngurumo wameitendea haki tasnia ya Habari dhidi ya vitisho vilivyotolewa jana na rais Magufuli.

Naomba nisiingie ndani sana kuhumu Ngurumo na Bulendu walisema nini kuhusu rais kutaka kuipangia media nini cha kuandika, mimi najikita kwa watu ambao ni wasaidizi wa rais wanajukumu la kumsaidia.
Haya chini ni yangu.

JF Kujadili Watu Badala ya Kujadili Maendeleo.
JF tumelaumiwa kutumia muda mwingi kujadili watu badala ya kujadili maendeleo. Maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu na sii maendeleo ya vitu, na maendeleo hayo yanaletwa na watu na hayaletwi na vitu, hivyo hatua ya kwanza kabisa kabla kabla hata ya kufikiria hayo maendeleo, ni watu wenye kuyahitaji hayo maendeleo, na nani anayewaongoza kuyaleta, hivyo watu wana haki ya kumjadili kiongozi yoyote mwenye dhamana ya kuwaletea maendeleo, hata katiba imeanza kwa maneno "We The People.." ikimaanisha ni watu, hata demokrasia ni "of the people, by the people and for the people", yaani ni serikali ya watu, iliyochaguliwa na watu, na inaongozwa na watu, kwa manufaa ya hao watu, hivyo, watu ndio kila kitu, hata nchi, kitu muhimu kabisa ni watu, ndipo lije eneo etc, hivyo watu ndio kila kitu.

Tanzania ni nchi yetu sote na sio nchi ya mtu mmoja, japo Tanzania ya sasa inaitwa ni Tanzania ya Magufuli kama Darisalamu inavyoitwa Jiji la Makonda, haya ni majina tuu, kiukweli Tanzania ni ya Watanzania, na Darisalamu ni ya wana Darisalama, its the people.

Wasaidizi na Washauri wa Rais Wana Wajibu wa Kumshauri Rais ili Kumsaidia
Wasaidizi wa rais wa kila eneo wana wajibu wa kumsaidia rais wetu kwa kumshauri kufanya uamuzi sahihi na kumwachia rais kufanya uamuzi wowote ila sisi kama Watanzania tuna shauku ya kumuona kila wakali rais wetu akifanya na kutenda the right thing at the right time and doing it right. Handling ya Makonda-Bashite-Nape Thing was a wrong thing, done at at a wrong time and done wrongly!.

Washauri wa rais mko wapi na kumuona rais wetu anasema na kutenda as if hana washauri?! .
Sisi jf tutaendelea kushauri kwa lengo la kujenga.

Kuhusu uhuru wa rais wetu kushauriwa, kupokea ushauri na kusema lolote, tulilizungumza hapa Naamini Rais Magufuli ana washauri wazuri na anashauriwa vizuri tuu! , Ila...

Tanzania ni yetu sote na rais Magufuli ni rais wetu wote.
Mungu Ibariki Tanzania.
Jumamosi njema.
Paskali

Mkuu paskali ni vitisho gani vilitolewa? umeme ulizima kwetu kwa siku tatu hivi
 
Back
Top Bottom