MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,927
- 6,850
Kweli kabisa maana kama ni kutaka wasaidizi wa rais kumshauri, Nape alitengeneza roadmap nzuri ya kumashauri rais kupitia findings za tume! Nape was right, ila rais hakupenda kushauriwa tofauti na atakavyo yeye maana Ushauri sio ushawishi!Umeandika vizuri kabisa na ktk mpangilio makini ila sijaelewa kwanini u nadhani it was wrong kwa Nape kuunda tume??