kayaman
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 4,517
- 10,369
mkuu hamna anayetumia ile kitu akawa bashite wewe fuatilia rasta wengi ni wapole na watulivu!Kwani huyo jamaa anatumia ile sigara iliyoharamishwa!? Namaanisha sigara ya marehemu Robert Marley!?
mkuu hamna anayetumia ile kitu akawa bashite wewe fuatilia rasta wengi ni wapole na watulivu!Kwani huyo jamaa anatumia ile sigara iliyoharamishwa!? Namaanisha sigara ya marehemu Robert Marley!?
```Naye akawajibu "Msinililie Mimi, jililieni ninyi na kura zenu, kwa maana hakuna aliyewalazimisha mpange foleni siku ile." Basi wakainamisha nyuso zao kwa huzuni, wala wasiweze kumjibu. Naye akiisha kusema hayo akapita katikati yao akaenda zake bandarini``` (Watanzania 5:20)Mkulu alishasema hapangiwi sasa tufanyeje?
Ushawahi kusikia hii methali..ukitaka kufika haraka tembea peke yako..lakini ukitaka mbali tembea na wenzako..au kimombo if you want to go faster go alone if you want go far walk with others.Hii nchi inahitaji uongozi wa kiamri..uongozi wa mashauriano ulishafeli..wacha twende na huu maana unaonyesha njia..siku zote maendeleo ya nchi huletwa na uthubutu wa wachache..na wengi huachwa nyuma kama ilivyokuwa kwa nape na wenzie..
Sasa si umeshafika ulipotaka kwenda..umeshasema umefika..mi nataka kwenda kariakoo..nimefika..mbagala nifate nini..?? Nikitaka kwenda mbagala nitajiandaa kwenda mbagala..usigeuze haramu kuwa halaliW
Ushawahi kusikia hii methali..ukitaka kufika haraka tembea peke yako..lakini ukitaka mbali tembea na wenzako..au kimombo if you want to go faster go alone if you want go far walk with others.