Wasaidizi wa Mnyika wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kuhisiwa kufanya uharifu

Mpeni habari hii ,mnyika asahau ubunge mwaka ule alikoswakoswa jimbo likagawanywa sasa hana chake


USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Mav. yako! Umeleta taarifa za kishenzi kisha unaongeza na ushenzi tena.
Mie nawaambia jeshi LA polisi sasa limekuwa idara ya uenezi Chadema bila kujijua kwa upumbaf wao.
Hivi wangenyamaza sio ajabu no wachache wangejua kuwa Mnyika yuko Mwanza, lakini wanafanya matendo ambayo hata wenye kadi za ccm lakini wanaakili wanajikuta huruma inaingia kuwa uonevu umezidi kwa Chadema.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
"wanahisiwa kuwa ni waharifu"
Kwamfano ikithibitika kwamba siyo waharifu?!
Na why umtie mtu korokoroni kwa kuhisi??
 
"My take

Mnyika umekimbia jimbo lako miaka mingi na sasa umeibukia kwenye ukatibu na kuanza kugombana na dola ili kutengeneza kura za huruma sisi wakazi wa kimbambq tunakwambia imekula kwako

Malizana na polisi uje 2020 tukuvue ubunge"


Baada ya kuja na maelezo yooote hayo kumbe hoja yako ipo kwenye hitimisho lako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajiandae kupigwa money loundering.kwa sasa kazi kuu ya jeshi LA polis Ni kupambana Na wapinzani Wa ccm kwa kuwambikia kesi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…