Sorry kwa inayo muhusu bali huu ni mtazamo wangu kwani naamini wanafanya hivyo? kwa mtazamo wangu hawa watu hadi wamefikia hapo ni kwa sababu hizi
1.Tamaa ya pesa
2.Kupenda kuiga mambo kwa watu wengine
3.Wavivu na wazembe wa kufanyakazi
Waungwana mnalionaje hili hawa watu mnawachukuliaje katika jamii yetu ya Kitanzani?
1.Tamaa ya pesa
2.Kupenda kuiga mambo kwa watu wengine
3.Wavivu na wazembe wa kufanyakazi
Waungwana mnalionaje hili hawa watu mnawachukuliaje katika jamii yetu ya Kitanzani?