Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,207
- 3,059
Sio umri Wala majukumu wale majamaa hawajui kutangaza.....Huwa wanaongea vitu vingine unajiuliza hawa mbona wanaongopa mno!Eti baada ya ngoma ya "Ye" ya Burna Boy kufanyiwa remix na yule demu ndo umekuwa maarufu worldwide...dah...wanawadanganya Sana watu...!Hata utamshi wa maneno ni hovyo!.......Halafu hawajatulia mapepe na kuchekacheka ....!
pale abaki Jonijo tu!
pale abaki Jonijo tu!