Zanzibar-Nyamwezi
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 1,244
- 766
CCM ILIYO SAFI MBIONI UKAWA
Viongozi wote wasafi ndani ya CCM wanamfuata Jemedari mzalendo, Edward Lowassa. Njiani wapo kina Kngunge, Kinana, Karume, Nchimbi, Sitta, Tibaijuka na wengine wadogo kwa wakubwa zaidi ya 1000.
Asante Kikwete kwa kuboresha demokrasia kwa kupunguza kama sio kukisambaratisha chama kilichooza.
Viongozi wote wasafi ndani ya CCM wanamfuata Jemedari mzalendo, Edward Lowassa. Njiani wapo kina Kngunge, Kinana, Karume, Nchimbi, Sitta, Tibaijuka na wengine wadogo kwa wakubwa zaidi ya 1000.
Asante Kikwete kwa kuboresha demokrasia kwa kupunguza kama sio kukisambaratisha chama kilichooza.