Bado haijaisha mkuu,nasubiri mistari niliyokupa ukasema utaipitiaMkuu ZionGate nimepunguza pilika na niko kwa njia kuelekea home!
Naam! Kuna Maswali niliyaacha kiporo! Kwanza sijui lile la kuhusu chakula limeeleweka au Bado?
cjaja kuchekesha hapa mana kwenye station yenu mnasema walokole wanapga kelele na kunena kwa lugha ni mapepo wachafu ndo mana nyie hamna tofaut na muslim haiwezekani wewe ni mtu unayetumia bible useme wengne wanasali kiunafiki kwa ku quote baadhi ya vifungu halafu umejuaje kuwa tunaropoka wewe nashanga ni Mungu gani aliyekupa mamlaka ya ku judge madhehebu mengne eti tunaropoka na wewe una hakika gani kuwa huwa uko sahihi usalipo halafu ndo kazi ya masabato salia mngekuwa mnafata upendo na tunda la roho mtakatifu mungekashifu wengne mana hapo si upendo wa kweli kukashifu wengne au huyo ndo mungu wenu anavowatuma halafu usipo tumia akili eti mimi niwe mtoa roho mtakatifu something which is imposible Yesu ndo mwenye mamlaka mana alituachia msaidizi
Mkuu ZionGate nimepunguza pilika na niko kwa njia kuelekea home!
Naam! Kuna Maswali niliyaacha kiporo! Kwanza sijui lile la kuhusu chakula limeeleweka au Bado?
Wapendwa Ntuzu, Basluma Original, Blueband na wengineo naomba mpitie haya mafungu... Kama watu hawawaelewi basi achaneni nao.....
Tito 3:9 " Laki maswali ya upuzi ujiepushe nayo na nasaba na magomvi na mashindano ya sheria kwa kuwa hayana faida tena hayana maana...
Mithali 15:28 "Moyo wa mwenye haki hufikiri jinsi atakavyojibu; Bali kinywa cha wasio haki humwaga mabaya."