Ni kweli walikuwa hawajalewa, ila walinena kwa lugha zilizofahamika kwa wasikilizaji hadi wakashangaa wakisema Hawa si wayahudi, mbona wananena lugha zetu. Kumbe walinena kwa Lugha ambazo kwao walikuwa hawajawahi kujifunza hapo kabla lakini zilizoeleka kwa wasikilizaji na sio makelele ambayo hapa mnenaji mwenyewe hajui maana zake.Wapendwa,
Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.
Wapendwa,
nimeshangaa sana kusikiliza radio yenu inayoitwa Morning star na kukumbana na kashfa za ajabu juu ya makanisa mengine nashangaa mhuburi anasema eti makanisa mengine wakiomba wanakuwa kama wameingiwa wazimu,haitoshi akaendelea makanisa mengine yanayoitwa ya walokole wakihubiri wanaongea kama wamelewa au wameingiwa wazimu.
Nyie wasabato nyie hamjui biblia wala utendaji kazi wa Roho mtakatifu.
Ngojeni niwaambie nyie wasabato mnaojifariji mnamjua Mungu kuliko makanisa mengine.
Mimi nimeokoka na nimejazwa Roho mtakatifu,nikianza kuomba najikuta nimezama kwenye upako wa Roho mtakatifu,manake ni kwamba Roho mtakatifu sasa anaishi ndani yangu na ananiongoza kwa mambo yote ninayofanya hapa duniani.
Hao mnaofikiri wameingiwa wazimu ni kwamba wamejazwa Roho mtakatifu,kumbuka Yesu alipopaa mbinguni aliwaahidi wanafunzi wake wabaki Jerusalemu mpaka wajazwe Roho mtakatifu.
Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.
Nawashangaa sana enyi wasabato badala ya kupambana na shetani mnahangaika na makanisa Yenye imani kama yenu,huu ni uwezo mdogo wa kuelewa maandiko matakatifu.
Enyi wasabato vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni katika ulimwengu wa ROHO.
Kaeni kama mlivyo na tutawaombea ili Mungu awatoe hayo yaliyo kwenye moyo wenu.
Dada rosemarie maandiko yanaseema hivi Mwapotea njia kwa kutokujua maandiko na uwezo wa Mungu. Hebu nikuulize hivi, unaijua historia ya unenaji wa lugha unayoiita kujazwa na roho mtakatifu ilianza lini, wapi na kwa nini mnaponena kwa lugha mnanena maneno yasiyoeleka kwa wengine?. Hebu tuanzie hapo kwanza maana naona Mungu anataka kukuonyesha jambo la maana sana katika kumfuata kwako.
Amelaaniwa kila aliye chini ya sheria.
Mimi niliwahi sema, wasabato wanawachukia wakatoliki kuliko hata shetani mwenyewe. Kumbe wanawachukia na walokole pia.
Naomba mjadala huu ungekuwa jukwaa la dini ingependeza sana..
Hivi wasabato ni wakristu?
kuna mahali flani nilishawahi kusikia kuwa wasabato si wakistro na hawaujui u-kistru...
dada usishangae, hata siku ile ya pentecost pale yerusalemu wanafunzi wa Yesu waliposhukiwa na Roho Mtakatifu wakawa na ndimi kama ndimi za moto ukiwakalia juu ya kila mmoja, wanayerusalemu walisema "watu hawa wamelewa mvinyo asubuhi hiii", walikuwa wanashangaa kama wanavyoshangaa wasabato.Wapendwa,
nimeshangaa sana kusikiliza radio yenu inayoitwa Morning star na kukumbana na kashfa za ajabu juu ya makanisa mengine nashangaa mhuburi anasema eti makanisa mengine wakiomba wanakuwa kama wameingiwa wazimu,haitoshi akaendelea makanisa mengine yanayoitwa ya walokole wakihubiri wanaongea kama wamelewa au wameingiwa wazimu.
Nyie wasabato nyie hamjui biblia wala utendaji kazi wa Roho mtakatifu.
Ngojeni niwaambie nyie wasabato mnaojifariji mnamjua Mungu kuliko makanisa mengine.
Mimi nimeokoka na nimejazwa Roho mtakatifu,nikianza kuomba najikuta nimezama kwenye upako wa Roho mtakatifu,manake ni kwamba Roho mtakatifu sasa anaishi ndani yangu na ananiongoza kwa mambo yote ninayofanya hapa duniani.
Hao mnaofikiri wameingiwa wazimu ni kwamba wamejazwa Roho mtakatifu,kumbuka Yesu alipopaa mbinguni aliwaahidi wanafunzi wake wabaki Jerusalemu mpaka wajazwe Roho mtakatifu.
Mnakumbuka walivyojazwa Roho mtakatifu watu waliwadhihaki wakisema wamelewa kumbe ulikuwa UPAKO WA ROHO MTAKATIFU.
Nawashangaa sana enyi wasabato badala ya kupambana na shetani mnahangaika na makanisa Yenye imani kama yenu,huu ni uwezo mdogo wa kuelewa maandiko matakatifu.
Enyi wasabato vita yetu siyo ya damu na nyama bali ni katika ulimwengu wa ROHO.
Kaeni kama mlivyo na tutawaombea ili Mungu awatoe hayo yaliyo kwenye moyo wenu.
Hivi wasabato ni wakristu?
kuna mahali flani nilishawahi kusikia kuwa wasabato si wakistro na hawaujui u-kistru...
dada usishangae, hata siku ile ya pentecost pale yerusalemu wanafunzi wa Yesu waliposhukiwa na Roho Mtakatifu wakawa na ndimi kama ndimi za moto ukiwakalia juu ya kila mmoja, wanayerusalemu walisema "watu hawa wamelewa mvinyo asubuhi hiii", walikuwa wanashangaa kama wanavyoshangaa wasabato.
kumbuka yafuatayo, imeandikwa kwamba, "lakini awaye yote asiye na huyo Roho wa Kristo, huyo si wake" ikiwa na maana kwamba hata ukiwa mkristo kama hauna Roho Mtakatifu moyoni mwako wewe si wa kristo.
Yesu atakapokuja kunyakua kanisa lake akiwa mawinguni ni wale tu wenye Roho Mtakatifu ndio watakaonyakuliwa. Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe kama hauna huyo Roho moyoni mwako ni kwamba Mungu hayupo moyoni mwako. kuwa mkristo ni challenge kubwa sana ambayo mtu inabidi ajikane mwenyewe na atoe garama ya kuyakataa mambo mengi ya dunia ili ayapate ya rohoni kwasababu kuwa wakristo wengi sana ambao hawana Mungu katika maisha yao.
ukiwa na Roho Mtakatifu, atakusaidia kuomba, unajua hautakiwi kuomba kwa akili tu muda wote, kuna wakati maombi ya akili hayafiki mbinguni kwasababu kuna wakuu wa giza na wakuu wa anga huwa wanazuia maombi wakati mwingine kama maombi hayo hayana moto. kasome kitabu cha Daniel utagundua daniel alipokua akiomba siku 21 malaika alishuka kuja kumletea majibu akasema alishajibiwa sasa alicheleweshwa na mkuu wa anga la uajemi hadi alipopata msaada wa malaika mwingine kumshambulia huyo malaika wa giza/mkuu wa anga la uajemi.
maombi ambayo hayana moto wa Roho Mtakatifu yana asilimia ndogo sana kufika kwa Mungu. ila maombi yenye upako wa Roho ndiyo yana asilimia mia kuwa yamefika kwa Mungu na hakuna pepo wa kukaa angani kuyazuia. kumbuka kuwa, Roho mtakatifu hutuombea kwa Baba kwa kuugua kusikoweza kutamkwa, pale anapolia aba, hivyo kama hauna Roho hauna mwombezi. maombi ya Roho Mtakatifu/ukijawa Roho na kunena kwa lugha ndio maombi pekee ambayo Roho Mtakatifu anakuombea kwa mapenzi ya Mungu kwani tukiomba kwa akili tutaomba kwa upumbavu wa kidunia tu kuomba magari kuomba vyakula kuomba vitu ambavyo si vya faida, ila Roho akiomba anaomba vyooote kwa pamoja na hata mambo ambayo Mungu ameyaona yako mbele yako na atakuombea kukuokoa au kukubariki n.k. na Neno la Mungu limeandikwa kwamba '' na ishara hizi zitaambatana na wote watakaoamini, kwa Jina langu watatoa pepo, ....watasema kwa lugha mpya....", that means, ukiamini unatakiwa kusema kwa lugha mpya, na huo ndio ukristo. HAUTAJUA MAMBO HAYA KAMA HAYAJAKUPATA, ILA WALE WENYE NEEMA AMBAO WALISHAYAPATA WANAJUA KUWA ROHO HUA ANAWAFUNULIA HAYA MAMBO HALAFU UNAKUWA HUNA HATA MASWALI YA KUJIULIZA MAJIBU YOTE UNAYAPATA KWA SAUTI YA UKIMYA ROHONI MWAKO AU KWA NJIA MBALIMBALI AMBAZO MUNGU HUONGEA NA WANADAMU. Mungu akubariki sana ndugu.
Naomba mjadala huu ungekuwa jukwaa la dini ingependeza sana..