Was this Murder or suicide?

Was this Murder or suicide?

Seen endless conv somewhere trying to relate the scene with possible causes of death. What do u think, was this murder or suicide?

View attachment 339973
Hii ni Accident ameteleza akapiga kichwa kwenye ncha ya ukuta .....Alikuwa anaandika ... mezani ...akasikia kuna kama mtu anamyatia kwa nyuma...katika kujihami akageuka ghafla..... akateleza na kupiga kichwa kwenye ncha ya ukuta.
N.B.
Vitu kuparanganyika vimesababishwa na ile speed ya kuifuata silaha ilipo ili kujihami
 
Aliuliwa sehemu ingine kisha akaletwa hapo
 
mi nasema ni suicide
ukiangalia kwny hiyo meza unaeza ona karatasi,, boxi la sigara,, miwani na peni probably huyo mwanamke alikua akiandika suicide note... ukiangalia position ya peni na karatasi jinsi zilivyokaa vinaeza kutuambia kua huyo dem ni right handend.....ko naeza sema alikua akiandika barua yake ya mwisho huku akivuta sigara yake ya mwisho na baada ya kuweka peni chini.... akachukua pistol aliyokua nayo na kugeuka... probably ni kwasababu ya hiko kioo cha dirisha.. nje ni usiku ko akiangalia hiko kioo badala ya kuona nje ni anajiona yeye... kwa saikolojia ya kawaida ni vigumu mtu kufanya jambo gumu kama hilo ukiwa unajiangalia kwny kioo... inawezekana aligeuka na na kukipa ubavu au aligeuka na kukipa mgongo

hyo damu ukutani inaeza kuashiria kwamba risasi ilipitiliza na kutoboa upande wa pili
 
Seen endless conv somewhere trying to relate the scene with possible causes of death. What do u think, was this murder or suicide?

View attachment 339973
huyu victim kapigwa risasi akiwa amekaa kwenye hiyo stuli iliyoanguka ama alikuwa kasimama straight na miguu yake? kama alijipiga risasi akiwa amekaa kwenye stuli damu zisingeweza kuruka na kujaa kwa kiasi kile pale dirishani. jaribu kurudisha hiyo stuli mahali pake bila kuyumba kisha muweke huyo victim hapo utaelewa ninachomaanisha...........
 
Hii ni Accident ameteleza akapiga kichwa kwenye ncha ya ukuta .....Alikuwa anaandika ... mezani ...akasikia kuna kama mtu anamyatia kwa nyuma...katika kujihami akageuka ghafla..... akateleza na kupiga kichwa kwenye ncha ya ukuta.
N.B.
Vitu kuparanganyika vimesababishwa na ile speed ya kuifuata silaha ilipo ili kujihami
Nimependa ulivyofikiri, umeangalia mbali zaidi..
katika mazingira uliyoelezea hapo (angalia kwenye red) haiwezekani kuwa ameshika sigara mkononi
 
MURDER.silaha mkononi imeshikwa vice versa which indicates aliwekewa baada ya tukio.sigara mkononi yaonyesha hakua "amejiandaa" kufa/kujiua au nayo aliwekeewa baada ya kuuawa.na pia kutoka kiti kilipo hadi damu na usambaaji wake ukutani inawezekana hata silaha iliotumika sio hiyo alioshikishwa kwa kugeuziwa mkononi...ni kama ilitumika kubwa zaidi na kutokea mbali hakua aware.....am no expert,just analysing the scene
i love your analysis
 
Hiyo ni murder,utaona jinsi alivyopambana na muuaji waji wake ili kutetea uhai wake.Ushahidi ni mvurugiko wa vitu hapo ndani
 
Kushika pistol mkono wa kulia wakati risasi iliyompiga na kusambza damu ukutani ipo kulia pia, hapo ni maswali mengi
 
More like a sketch with a girl holding a Beretta and marijuana on the other end pretending to be dead.My sharp eye telling me this is all staged up there is no blood on the floor.
 
Suicide the reasons behind in
1)Ukicheki kwenye dustbin utaona chupa probably ni ya pombe na mkononi anasigara iliyowashwa na kuna packet ya sigara inaonyesha marehemu alikuwa akisumbuliwa na stress
2)Ukiangalia juu ya meza utaona karatasi,kalamu na miwani then karatasi ina ujumbe mfupi hakuwa akifanya kazi(suicide notes)
3)Ingekuwa alishika silaha kwa kujihami asiweza kuwa na sigara mkononi inaonyesha mazingira yalikuwa tulivu
4)Wakati anajishoot alikuwa amegeukia direction ambayo picha ilipigwa na damu iliruka kwa pressure kwasababu alijishoot kwenye close range
 
Murder
-Gun ipo mkono wa kulia na alikua amekaa kutazama dirishani (Kulingana na alichokua anaandika) angejipiga mwenyewe doa la damu lisingetokea ukuta wa kulia
 
Murder
-Gun ipo mkono wa kulia na alikua amekaa kutazama dirishani (Kulingana na alichokua anaandika) angejipiga mwenyewe doa la damu lisingetokea ukuta wa kulia
Kama Ingekuwa murder asingekuwa amerelax mpaka kushika ivo sigara maana gun Ingekuwa ya kujihami
 
hujuI kuwa mtu unafanyiwa ambush na kwanzia sigara /gun mpaka suicide note vinaandikwa?
Halafu angekua anavuta angeweka mezani kwani ndio ajiue, huwezi kuvuta sigara huku unajiua.

Kama Ingekuwa murder asingekuwa amerelax mpaka kushika ivo sigara maana gun Ingekuwa ya kujihami
 
Back
Top Bottom