Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 366
Habari wadau,naomba mnijuze hili suala,askari polisi anapokuja kukukamata kwa kosa lolote kwa sheria zetu hapa Tanzania ni lazima awe na hii "warrant of arrest",na hii hati inatolewa na mamlaka gani.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums