WARNING: Bongo5 ina Virus

WARNING: Bongo5 ina Virus

Invisible

Robot
Joined
Feb 26, 2006
Posts
16,286
Reaction score
8,447
Hii ni tahadhari kwa msiokuwa na antivirus imara, mkiitembelea tovuti hiyo mtaishia kuzipeleka pc zenu garage. Jihadhari, tovuti ina virus; mwenye kuwa na mawasiliano na owners awafahamishe warekebishe haraka hili

i1508_Bongo51.jpg


i1509_Bongo52.jpg

 
Jana tu niliweka antivirus mpya kwenye PC yangu; sijui niijaribu kwa kutembelea huko!?
 
.............Jamani mimi mbona nikifungua hapa naletewa warning ya viruses, kuna nini hapa napo? Hiyo bongo 5 ndio site gani tena?Anyway shukrani kwa taarifa.
 
mimi nililazimika kuzima na kuwasha tena PC,, ili-freeze kabisaaaaaaaaaa......

i1510_untitled.bmp
 
Shukrani mkuu, tena leo nilikuwa nina mpango wa kutembelea huko!
 
Tunapenda kuwafahamisha wote kwamba swala la virus iliisha muda mrefu na sasa bongo5 ina sura mpya. Msisite kuitembelea, na kama ina tatizo yoyote msisite kuwasiliana nasi.

Asanteni sana!
 
Tunapenda kuwafahamisha wote kwamba swala la virus iliisha muda mrefu na sasa bongo5 ina sura mpya. Msisite kuitembelea, na kama ina tatizo yoyote msisite kuwasiliana nasi.

Asanteni sana!
UNA EVIDENCE YOYOTE? itakuwa kazi sana kuja huko,tuazipenda pc zetu.
 
Tuna uhakika 100%, tumehama na kuongeza uwezo wa server pamoja na kubadilisha na kuboresha mfumo mzima wa tovuti. Kwa nini tutake kuharibu PC zenu? Bila nyinyi tovuti halina maana
 
Tunapenda kuwafahamisha wote kwamba swala la virus iliisha muda mrefu na sasa bongo5 ina sura mpya. Msisite kuitembelea, na kama ina tatizo yoyote msisite kuwasiliana nasi.

Asanteni sana!

kila nikiingia napata security warning:site is unsafe....rekebisha mambo bado hujamaliza!
 
UNA EVIDENCE YOYOTE? itakuwa kazi sana kuja huko,tuazipenda pc zetu.
Kwakuwa tangazo lenyewe nililitoa mimi basi naomba niseme kuwa nimei-scan site kwa sasa iko clean.

Mkuu Bongo5, pole kwa masaibu hayo na mmefanya vema kurekebisha hali.
 
kila nikiingia napata security warning:site is unsafe....rekebisha mambo bado hujamaliza!
Mkuu Fab;

Unatumia Antivirus gani? I wanna give it a try right now... You might be right
 
Back
Top Bottom