Maneno haya ndiyo muliyokaririshwa na Baba yenu Nyerere kwa UJINGA wake na hadi leo bado munaendelea kuyaamini!!! Kama ni hivyo inawezekana Muungano ukivunjika kutakua na Serikali zaidi ya nne pia usisaha na Mikoa ya Kusini, Kaskazini, Nyanda za juu na huko kwenu huenda mukawa na Serikali za Makabila! Kwa nini hili hamulisemi.?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.