Hatuna mtu mwenye akili za kipuuzi ndani ya CCM kama alizonazo Warioba. Arejeshe tu kadi yetu kwa maana amekosa sifa za kuwa mwana CCM
Lizaboni Mzee Warioba alihama na CCM toka TANU anaijua vilivyo kuliko wewe masalia au CCM Digitali. Warioba anaipenda CCM kutoka moyoni sio TUMBONI..yupo CCM na ataendelea kuwepo sababu katiba ya CCM ni nzuri mno kuliko ya Chama chochote cha kijamaa sema Chama kimetekwa na Maharamia hawafuati yale yanayokatazwa na katiba wao wanajiendeea tu na matumbo yao basii..Kuwa muumini wa katiba ya CCM wa Ukweli ni lazima uwe na kichwa cha mwenda wazimuu.