Warioba: Mimi ni mwanaCCM kindakindaki

Warioba: Mimi ni mwanaCCM kindakindaki

Hatuna mtu mwenye akili za kipuuzi ndani ya CCM kama alizonazo Warioba. Arejeshe tu kadi yetu kwa maana amekosa sifa za kuwa mwana CCM
Ni kweli Warioba amekosa sifa za kuwa mwana ccm. Sifa za mwana ccm kwa uchache ambazo Warioba hana ni kama zifuatazo:
  1. Mwana ccm lazima awe mwizi
  2. Mwana ccm lazima awe mla rushwa
  3. Mwana ccm lazima awe fisadi
  4. Mwana ccm lazima ajue kujipendekeza
  5. Mwana ccm lazima awe mwongo
  6. Mwana ccm lazima awe mnafiki
  7. Mwana ccm lazima awe mchumia tumbo.

Warioba hana sifa hizi hivyo Lizaboni umesema kweli,arudishe kadi yenu.
 
Ninyi ndo mnatakiwa kurejesha kadi za CCM maana mmekosa sifa za kuwa Wanaccm baada ya kusimamia na kutekeleza misingi ya Rushwa, Ufisadi, Ujangili na ugaidi...CCM ya Mwalimu haikuwa hivyo!!! Warioba amekereka zaidi baada ya Nchemba et al kutoa Uhai wa Mmojawapo wa Mjumbe wa Rasimu ya Katiba ... wote tumechukizwa kwa hilo isipokuwa ninyi MUUMIANI...
Hatuna mtu mwenye akili za kipuuzi ndani ya CCM kama alizonazo Warioba. Arejeshe tu kadi yetu kwa maana amekosa sifa za kuwa mwana CCM
 
Hatuna mtu mwenye akili za kipuuzi ndani ya CCM kama alizonazo Warioba. Arejeshe tu kadi yetu kwa maana amekosa sifa za kuwa mwana CCM

Kuwa na heshima wewe huwezi kumwita Warioba mpuuzi kisa tu kwenda tofauti na chama chenu,hizo buku saba zisikutoe akili ukaanza kutumia makalio kwenye kufikiri.
 
Hatuna mtu mwenye akili za kipuuzi ndani ya CCM kama alizonazo Warioba. Arejeshe tu kadi yetu kwa maana amekosa sifa za kuwa mwana CCM
Mkuu imekua kadi yenu?? Ubinafsi unakiua chama. Kumbuka katiba na uongozi usiojali maslahi binafsi ndio nguzo za chama cha siasa. Umimi/ uyetu unakimaliza chama na si ajabu utakuja amka ukajikuta umetolewa nje kama unavyo maanisha kwa Warioba. Inasikitisha kuona chama kilichojengwa kwa misingi imara ya umoja kinapokwa na watu wenye hisia za kibinafsi na fikra finyu wanaunganishwa na hisia za KIHUNI
 
Hatuna mtu mwenye akili za kipuuzi ndani ya CCM kama alizonazo Warioba. Arejeshe tu kadi yetu kwa maana amekosa sifa za kuwa mwana CCM

unaongea kama nani wewe mpiga domo wa lumumba??
 
Kama unaweza kumweka Jaji Warioba katika kundi la wapuuzi hakika unatakiwa kukaguliwa akili zako na madaktari bingwa wa magonjwa ya akili.


Hatuna mtu mwenye akili za kipuuzi ndani ya CCM kama alizonazo Warioba. Arejeshe tu kadi yetu kwa maana amekosa sifa za kuwa mwana CCM
 
Ni kweli halo wapo wengi kuna mkimbizi yuko SUMBAWANGA MJINI Leo no kiongozi CCM baada ya kuwasaliti ccm mwaka 2010 uchaguzi Wa mbunge
 
kule CHADEMA, akina ZITTO, MKUMBO , MWIGAMBA, walisema uongo wakaitwa wasaliti? kweli nyani haoni ku.ndule

Mfukuzeni na ninyi kwa kusema uongo kuwa Wasira alishawahi kuihama CCM.
 
Hatuna mtu mwenye akili za kipuuzi ndani ya CCM kama alizonazo Warioba. Arejeshe tu kadi yetu kwa maana amekosa sifa za kuwa mwana CCM
teh teh, inaonekana umetoroka milembe wewe! Je yaani manyang'au wale wote walioko ccm huwaoni?
 
kwani warioba amekataa kuwa mgombea uaris kupita ukawa.
 
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dr Judge Joseph Warioba amesema kwamba yeye ni mwanaCCM wa ukweli tofauti na wengine ambao wako CCM kuchumia tumbo. Alisema hayo akiwa wilayani Bunda akiongea kwenye kongamano lililoandaliwa na asasi ya Fikra Pevu. Dr Warioba alisema kwamba kuna baadhi ya wanaCCM ambao wakiona maslahi yao yapatimii hukimbilia vyama vingine na kisha kurejea tena ndani ya chama huku wakijifanya kuwa na mapenzi ya chama wakati si kweli.

Chanzo: Uhuru

MAONI YANGU
Nakubaliana kabisa na maoni ya Dr Warioba. Kuna wanaCCM kama vile Wassira, Shibuda, Nsasugwanko, Bagenda, Ndobo na Makongoro Nyerere ambao waliikimbia CCM baada ya kuona maslahi yao hayatimii lakini baadaye waliamua kulamba matapishi yao na kurejea tena ndani ya CCM.

:yield:

Makongoro ...hakukimbia kwa kuogopa kukatwa...Kwani nani angemkata ...pale ?? Yule akiondoka kwa kuwa alikuwa akiamini kuwa hata Angepita kihalali watu Wangesema kabebwa...and he wanted to build his own name ...first .

Wassira na Hao wengine Ndio maslahi kwa Kweli naona hata Shibuda Sasa anatafuta chama ...nje ya ccm na Chadema ....wana ccm wa vyeo
 
Hatuna mtu mwenye akili za kipuuzi ndani ya CCM kama alizonazo Warioba. Arejeshe tu kadi yetu kwa maana amekosa sifa za kuwa mwana CCM

kweli sifa za mwana ccm
wizi
dhuluma
ufisadi
unyonyaji
uchakachuaji

hizi ni baadhi tu ambazo jaji sinde warioba hana
 
Unajua, utaeleweka zaidi ukitaja akili hizo za kipuuzi. ukisema tu kwa ujumla wake unakuwa tayari wenye akili walishakuweka kundi la wanaotapatapa.
Hatuna mtu mwenye akili za kipuuzi ndani ya CCM kama alizonazo Warioba. Arejeshe tu kadi yetu kwa maana amekosa sifa za kuwa mwana CCM
 
Kweli Warioba we ni mtanzania wa kweli! Endelea kuwa mwana ccm w
Kwani we ni miongoni mwa waasi wa chama na walezi wa ccm! Achana na watoto hao akina Nape,jirani yako huyo asiyeshiba kila siku anahangaikia tumbo lake
 
Hapo pamoja na wengne kamgusa Wasira alyewah kukmbilia nccr kabla ya kurud tena ccm
 
Back
Top Bottom