Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,624
Elewa kiswahili mbona hao wazee wengine hawaongei na wakati watoto wao wapo kwenye system tayari?Ndo nakwambia hata yeye anaongea hayo kwakua tayari hana cha kupoteza,sina imani alipokua waziri mkuu alikua anayaishi hayo anayoyaongea Leo.Au alipokua jaji mkuu alikua akitenda haki kwenye hukumu zake.