Ndio mkuu Warioba awe baba wa Tanganyika na Nyerere atabakia kuwa baba wa Taifa na Jakaya Kikwete awe baba wa miundo mbinu ili kuenzi juhudi zake za ujenzi wa miundo mbinuHa ha ha! Warioba aliwasilisha hotuba yake Bungeni tarehe 18 Machi 2014 na sio tarehe 11 Machi. Kwa hiyo, kwa tafsiri ya maelezo yako, unashauri Joseph Sinde Warioba awe Baba wa Tanganyika na Nyerere awe Baba wa Taifa (Tanzania)? Au labda sijakupata vizuri.
Mkuu, nadhani itakuwa siku ya ujinga wa Wariobami napendekeza iwe tar 1-4 kukumbushia ujinga wa ccm
Apiganie tu kitu ambacho hakipoNaunga mkono anaipigania Tanganyika (Mama yetu) na awe rais wa Pili wa Tanganyika yenye mamlaka kamili tume,mmiss mama yetu. Mama wakambo aende zake
Apiganie tu kitu ambacho hakipo
Siku ya wanyama pori tanzania wanyama hufurahia kweli wakati huo.Mkuu kwa taarifa tu ni kwamba kila tarehe 9/12 ya mwaka tunasherekea sikukuu gani?
Nikiwa mwana ccm mtiifu kabisa napendekeza tarehe aliyowasilisha rasimu ya katiba bungeni iwe ni siku ya mapumziko pindi serikali ya Tanganyika itakapozaliwa upya wakuu
Wabunge wengine waliounga mkono na majimbo yao ya wakati huo yakiwa kwenye mabano ni; Mateo Tluway Qaresi (Babati), Jenerali Twaha Khalfani Ulimwengu (Taifa/Jumuiya ya Vijana), Mbwete Polile Hombee (Mbeya Vijijini), marehemu John Byeitima (Karagwe), Chediel Yohane Mgonja (same), Japhet Sichona (Mbozi), Benedict Losurutia (Kiteto bado yuko bungeni), Dk. Mganga Kipuyo (Arumeru Magharibi), Stanley Kinuno (Nyanghwale), Dk. Aaron Chiduo (Gairo), Edward Oyombe Ayila (Rorya) na Shashu Lugeye (Solwa).
Wengine walikuwa John Mwanga (Moshi Mjini), Dk. Deogratius Mwita (Serengeti), Abel Mwanga (Musoma Mjini), Juma Jamaldin Akukweti (Tunduru), Patrick Silvanus Qorro (Karatu), Steven Mwaduma (Iringa Mashariki), Dk. Ndembwela Ngunangwa (Njombe Kusini), Richard Koillah (Ngorongoro), Ahmed A. Mpakani (Iringa Magharibi), Paschal K. Mabiti (Mwanza), Luteni Lepilal Ole Moloimet (Monduli), Lumuli Alipipi Kasyupa (Kyela), Profesa Aaron Masawe (Hai) na Arcado Ntagazwa (Kibondo).
Katika kundi hilo walikuwemo pia Phineas Nnko (Arumeru Mashariki), Paschal Degera (Kondoa Kusini), Mussa Nkhangaa (Singida Mjini), Halimenshi Kahema Mayonga (Kigoma Kaskazini), Said Abdallah Nakuwa (Lindi Mjini), na Mosi Tambwe (Taifa/Wanawake).
Wengine ni Luteni Kanali John Mhina (Muheza), Charles Kagonji (Mlalo), Kisyeri Werema Chambiri (Tarime), Tobi Tajiri Mweri (Pangani), William H. Mpiluka (Mufindi), Aidan Livigha (Ruangwa), Philip Sanka Marmo (Mbulu), Erasto K. Lossioki (Simanjiro), Shamim Khan (Morogoro Mjini), Raphael Shempemba (Lushoto), Phares Kabuye (Biharamulo alihamia CUF), marehemu Evarist Mwanansao (Nkasi), Mussa Masomo (Handeni), Jared Ghachocha (Ngara), na Mariam Kamm (Taifa/Wanawake).
Mkuu, nadhani itakuwa siku ya ujinga wa Warioba