Warioba ashitakiwe

mkuu usiumize kichwa,huyu dogo atakua wa 96 huko,atakuchanganya bure!
 

kama sijakosea unaweza ukawa na tatizo moja kitaalam tunaita BRAIN ATROPHY(is a condition in which brain cells are lost or connections in the brain are damaged)
 
Nina mashaka na mleta uzi, Warioba katumwa kukusany maoni na wenzio unayaona siyo halisi sasa tuvunje bunge tukusanye upya. Tuite wakenya waganda wanyarwanda tupate wajumbe waje wakusanye upya maoni kama hutaumbuka. Ubaya wenu mwisho wake aibu
 
Nina mashaka na mleta uzi, Warioba katumwa kukusany maoni na wenzio unayaona siyo halisi sasa tuvunje bunge tukusanye upya. Tuite wakenya waganda wanyarwanda tupate wajumbe waje wakusanye upya maoni kama hutaumbuka. Ubaya wenu mwisho wake aibu

Rais kachochea sana haya mambo alaumiwe yeye
 

Ndugu waziwazi ... nadhani wasiwasi wako unaonyeshwa wazi kwenye hoja yako unayoitoa. Sidhani kama Tume ya Mabadiliko ya Katiba imefanya kosa lolote linalotambuliwa kisheria. Wao waliteuliwa kukusanya maoni ya wananchi juu ya swala la katiba na jinsi gani watanzania wanafikiri katiba yao mpya iweje. Lilotokea na ambalo nakuunga mkono, ni tafsiri Tume iliyokuja nayo juu ya, kwa mfano, muundo wa serikali. Kwanza hawakuhoji wananchi wa kutosha. Kisayansi data yao ni "highly questionable". The sample size (N) ni ndogo mno ambayo haitoshi kutoa tafsiri kwamba maoni hayo yanawakilisha maoni ya wananchi wote million 45 wa Tanzania. Pili, hamna sehemu yeyote katika report yao wanapotoa mitazamo tofauti ya ile ya muundo wa serikali tatu, au moja au mbili. Tume ilikuwa na mapungufu mengi, sijui sasa ni swala la "competency" au sijui nini :biggrin:
 
Anayepaswa kushitakiwa ni JK, siyo Warioba! JK anapaswa kushitakiwa kwa kufuja fedha za walalahoi kwa kuanzisha mchakato wa Katiba, huku akiwa hana nia ya kusikiliza maoni ya wananchi. Madaktari wakilalamikia mishahara, wanasema hakuna fedha, nchi ni maskini, na kupanga kumuua Ulimboka, lakini yapo matrilioni ya kuchezea katika mchakato huu wa kiini macho!!!!!!!!! JK ndiye aliyewapindua wananchi kwa kudharau maoni yao.
 
Naona mleta mada umetekwa na hutuba ya JK ya kuzindua bunge maalum la katiba. Uvunjwaji wa maksudi ulifanywa na mzee Sitta kwa maelekezo ya CCM ulikusudiwa kuwa na athari ambao sasa ni dhahiri kama uzi unavyojieleza. Uvunjwaji wa kanuni ulikuwa ni kwa mslahi ya kisiasa kwa CCM; Kuhafifisha umakini wa kazi tume ya jaji Warioba.

Mkuu wa nchi anapotakiwa kuzindua bunge maalum, badala yake akatumia muda mrefu zaidi kutoa maoni yake binafsi, maana yake ni kwamba alizindua bunge kama mwenyekiti wa CCM na si kama Raisi wa JMT.

CCM wameliteka bunge na hilo ndo lilikuwa lengo la uvunjwaji wa kanuni.

Mungu ibariki Tanzania
 

ukiimanisha mambo aliyoyafanya warioba na kundi lake kisha kunadanganya eti maoni ya watanzania ndio ustaarabu na heshima.
 
Nani kakutuma kuleta ujinga huu hapa?..

 
uelewa wako ni mdogo sana.
 
Ni vizuri kuheshimu maoni ya wananchi. CCM ni vyema kuelewa kuwa katiba ni zaidi ya chama chao.
 
wewe utakuwa umelogwa au huenda si mtanzania mtu wa kigali wewe. sisi Watanzanyika tuko timamu na sio wajinga. ujinga upo nchini kwenu.

Ukija Mkutano au mtihani wa Wapumbavu Tanzania hii Wewe Waziwazi utakuwa namba moja ! Wewe ni Mjinga wa wajinga tena Rofa usiye na Mfano Fikra Mfirisi huna upeo wewe Hii Mifano yako yote uliyoandika ni ya Kijuha tu . Tambua Yale ni maoni ya watanzani ni maoni ya Mtu mmoja Kama ni kushitakiwa Washitakiwe Wazazi wako kwa Kuzaa kilazaa ....
 

"Kuna tofauti kati ya mtu ujinga na upumbavu, kwani ujinga huweza kutolewa kwa kupatiwa elimu, lakini upumbavu hauna tiba kwani ni maumbile kama ufupi, urefu, nk" - Mwalimu Nyerere.

View attachment 146457
View attachment 146458
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…