Warioba anena tena: Chagua Magufuli

Warioba anena tena: Chagua Magufuli

Lazima tumpe tuuu sio na magonjwa ukishazeeka kama wewe lazima yaje tuuu
Twataka mweny maamuzi magumu sio siasa mpaka mambo ya muhimu
TeamLowasa kwa sana nahitaji kura yako ...asante sana bibi yangu

Umekielewa ulichokisoma?

Mtu ambae anasahau mpaka jina la mkewe, anasahau kama yupo chadomo bado tu tumpe urais?

Huyo hata mjumbe wa nyumba kumi hafai kupewa kwa hali yake aliyonayo.
 
yaa Warioba haina tofauti na aliyekuwa kipenzi cha wapenda mabadiliko Dr Slaa. ,,sema Warioba pia anamaslahi na uwepo wa ccm madarakani, pia kumsafishia njia kijana wake pale kawe. .Sikutegemea fitna na dharau alizofanyiwa na ccm ktk kudai katiba ya wananchi leo anasimama nakuwasapoti hivi. ..
 
Jaji Warioba tunakumbuka ulituambia kuna CCM mbili;

CCM Maslahi Na CCM Halisi;Je swali wewe upo CCM IPI? na Tutajie wenye CCM Maslahi ni Hakina Nani?,

Je Bado CCM kitengo Inanguvu Kama Ilivyofanya Dodoma....

Kumb wimbo Tunaimani na Lowassa..oya..oya..oyaaaaaaa.
 
Huyu nae fisadi tu .. Bilioni 300 kuandika Rasimu ambayo haikujadiliwa maana yake nini? Meremeta saga alihusika mwanzo mwisho ....
 
Hawa Mafia wa Vatican hawana maana kabisa ... huwa hawana huruma hata kwa waumini wenzao ... wao wako busy kuhakikisha kuwa rasilimali za nchi zinanufaisha mabwana zao tu ...
 
Bado sipati picha ya watz. yaani hata wale wazee nilioamini ni kivuli cha Baba wa Taifa[Mwl.] .Judge Warioba kafanyiwa
uhuni na vijana wa CCM [kina Makonda] lakini pamoja na yote bado yuko na CCM?Nimeamini semi za wazungu:
Appearance is very deceptive. Siwezi amini
 
Tatizo lako ww ni uelewa, na ndo maana mbapata tabu sana, warioba ni mwana ccm na ccm si ya Makonda kama ilvo chadema, baada ya kuchaguliwa kuwa mwenyekiti wa tume, mlilaumu sana na kwa akili ndogo zenu hadi mlitaka kumfukuza Baregu, baada ya kuja rasimu nzuri kila mtu-warioba warioba, mzee wetu mzee wetu, kihele hele, Baada ya mzee kukataa kukodiwa na UKAWA.

Mmeanza majungu yenu kama kawaida, majungu haya haya ndo yalifanya mkafukuza zito na wenzake, inaonekana hawakuwa na shida, shida ni kulalamika ovyo ovyo.
 
Back
Top Bottom