Warioba anena tena: Chagua Magufuli

Warioba anena tena: Chagua Magufuli

jogoo_dume

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
2,196
Reaction score
1,940
Mzee mwenye hekima, busara, akili na maono makali ya wapi taifa hili linapaswa kwenda na nani awe dereva sahihi wa safari hii, jaji mstaafu/ waziri mkuu mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa mara nyingine tena leo katika kampeni za mgombea urais wa CCM mkoani Mara amesema watanzania tumchague Dr. JPM sababu ni muadilifu, mchapa kazi na hana kashfa za ufisadi.

Sasa sijui BAVICHA ya Lowassa watasemaje hapa maana walidhani mzee ni mpumbavu atawaunga mkono katika 'mabadiliko' hasi yao!
Huyu mzee si wa kununuliwa hata kidogo.

Ni hayo tu!

WATANZANIA TUSHASEMA HATUMCHAGUI LOWASSA.
 
Warioba apuuzwe. UKAWA tunaenda kuitumia rasimu ya katiba ya Warioba ili wananchi wapate katiba bora. Magufuli ameandaliwa katiba ya magumashi ya Sitta na Samia. Katika hali ya kawaida, Warioba ange support UKAWA.
 
WARIOBA YUPI hUYO?? NI YULE ALIYEPIgWA NA MAKONDA??? KAMA NI hUYO SAWA... LAKINI KAMA NI YULE ALIYESIMAMA JANgWANI SIFIKIRI KAMA ANA JIPYA!! ATAKUWA ANALINDA MASLAI YAKE ZAIDI BADALA YA MASLAI YA KITAIFA!! hUYO NI WA KUPUUZWA!!, TENA hATUTAKI KUSIKILIZA hOJA YOYOTE INAYOMUUSIShA KWA SASA ....MPAKA BAADA YA OCT 25. KWA SASA ATUAChIE TUFANYE MAAMUZI YETU WENYEWE....ATATUShAURI KWENYE MAANDALIZI YA KATIBA MPYA BAADAE
 
Mzee mwenye hekima, busara, akili na maono makali ya wapi taifa hili linapaswa kwenda na nani awe dereva sahihi wa safari hii, jaji mstaafu/ waziri mkuu mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa mara nyingine tena leo ktk kampeni za mgombea urais wa ccm mkoani Mara amesema watanzania tumchague Dr. JPM sababu ni muadilifu, mchapa kazi na hana kashfa za ufisadi.
Sasa sijui BAVICHA ya Lowassa watasemaje hapa maana walidhani mzee ni mpumbavu atawaunga mkono ktk 'mabadiliko' hasi yao!
Huyu mzee si wa kununuliwa hata kidogo.
Ni hayo tu!

WATANZANIA TUSHASEMA HATUMCHAGUI LOWASSA.

ungejua ni kwanini inabidi afanye hivyo wala usingekuja na hoja hii. Hana jinsi ni lazima afanye hivyo kwani.
 
Tunataka mabadiriko hatuhitaji tena watu kupigwa wakiwa wanadai haki zao.mavadiriko ni ukawa.ccm haipo tena.
 
Warioba apuuzwe. UKAWA tunaenda kuitumia rasimu ya katiba ya Warioba ili wananchi wapate katiba bora. Magufuli ameandaliwa katiba ya magumashi ya Sitta na Samia. Katika hali ya kawaida, Warioba ange support UKAWA.

Sio UKAWA ya Lowassa.
 
Kama mtoto wake kapewa ubunge unataka aseme nini tena???
 
ungejua ni kwanini inabidi afanye hivyo wala usingekuja na hoja hii. Hana jinsi ni lazima afanye hivyo kwani.

Kweli nyie watu ni wasaliti, mnasaliti hata nafsi zenu! Kama ni hivyo unavyofikiria basi rasimu ya katiba huijui? sidhani lama angekuwa tayari kutengeneza mazingira ya kujitia kitanzi.
 
Babu hajielewi alipigwa na vijana wa ccm Leo anawapigia debe
 
Mzee mwenye hekima, busara, akili na maono makali ya wapi taifa hili linapaswa kwenda na nani awe dereva sahihi wa safari hii, jaji mstaafu/ waziri mkuu mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa mara nyingine tena leo ktk kampeni za mgombea urais wa ccm mkoani Mara amesema watanzania tumchague Dr. JPM sababu ni muadilifu, mchapa kazi na hana kashfa za ufisadi.
Sasa sijui BAVICHA ya Lowassa watasemaje hapa maana walidhani mzee ni mpumbavu atawaunga mkono ktk 'mabadiliko' hasi yao!
Huyu mzee si wa kununuliwa hata kidogo.
Ni hayo tu!

WATANZANIA TUSHASEMA HATUMCHAGUI LOWASSA.
Duh mwaka mgumu huu, Mkapa kashindwa kutulia, Warioba hatulii, Jakaya hatulii, Kila mtu anahangaika na UKAWA.
 
Warioba apuuzwe. UKAWA tunaenda kuitumia rasimu ya katiba ya Warioba ili wananchi wapate katiba bora. Magufuli ameandaliwa katiba ya magumashi ya Sitta na Samia. Katika hali ya kawaida, Warioba ange support UKAWA.

Ukawa hiyo ya mafisadi? Warioba ni mtu safi na msafi yeyote hawezi kukaa na mafisadi waliokithiri...
 
WOTE WANAONUFAIKA NA CCM KWA NAMNA MOJA AU NYINgINE hAWAPO TAYARI KUONA INAONDOKA MADARAKANI. KWA hIYO NA WEWE JIPIME MWENYEWE KAMA UNANUFAIKA NA CCM, BASI WAPE KULA , ILA KAMA hUNUFAIKI NA UWEPO WAO KWENYE UONgOZI BASI WAPE WANAOWEZA KULETA MABADILIKO YA UhAKIKA==== chAgUA UKAWA!!!
 
WOTE WANAONUFAIKA NA CCM KWA NAMNA MOJA AU NYINgINE hAWAPO TAYARI KUONA INAONDOKA MADARAKANI. KWA hIYO NA WEWE JIPIME MWENYEWE KAMA UNANUFAIKA NA CCM, BASI WAPE KULA , ILA KAMA hUNUFAIKI NA UWEPO WAO KWENYE UONgOZI BASI WAPE WANAOWEZA KULETA MABADILIKO YA UhAKIKA==== chAgUA UKAWA!!!
Ukawa ya Lowassa haichaguliki, Slaa kaondoka na chadema halisi, chadema ya Slaa ndo inayokubalika.
 
Utumwa wa kisiasa ni jambo baya sana...

Hivi huyu mzee hadi siku ile anachapwa vibao pale Blue Pearl si alikuwa anaiponda sana CCM kwa kupuuzia maoni ya Watanzania...

Tena akiwa na kina Prof Kabudi waliweza kuiita CCM kuwa imeshupaza shingo yake, lakini leo hii Warioba yupo kijiwe kimoja na hao washupaza shingo...
 
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Ukawa wanaka sapoti sana sasa mzee kawakomesha
Mtajijuu
 
Haka kazee kangepigwa kelbu nyngne mbili saaafii ili katulie.
 
Back
Top Bottom