Cham Bee
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 3,516
- 1,856
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Ukawa wanaka sapoti sana sasa mzee kawakomesha
Mtajijuu
Kiboko yake Makonde Poo na wataendelea kukapa kerbu mpaka katarudi kwa wananchi..
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Ukawa wanaka sapoti sana sasa mzee kawakomesha
Mtajijuu
Mzee mwenye hekima, busara, akili na maono makali ya wapi taifa hili linapaswa kwenda na nani awe dereva sahihi wa safari hii, jaji mstaafu/ waziri mkuu mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa mara nyingine tena leo ktk kampeni za mgombea urais wa ccm mkoani Mara amesema watanzania tumchague Dr. JPM sababu ni muadilifu, mchapa kazi na hana kashfa za ufisadi.
Sasa sijui BAVICHA ya Lowassa watasemaje hapa maana walidhani mzee ni mpumbavu atawaunga mkono ktk 'mabadiliko' hasi yao!
Huyu mzee si wa kununuliwa hata kidogo.
Ni hayo tu!
WATANZANIA TUSHASEMA HATUMCHAGUI LOWASSA.
Ukawa hiyo ya mafisadi? Warioba ni mtu safi na msafi yeyote hawezi kukaa na mafisadi waliokithiri...
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Ukawa wanaka sapoti sana sasa mzee kawakomesha
Mtajijuu
Warioba apuuzwe. UKAWA tunaenda kuitumia rasimu ya katiba ya Warioba ili wananchi wapate katiba bora. Magufuli ameandaliwa katiba ya magumashi ya Sitta na Samia. Katika hali ya kawaida, Warioba ange support UKAWA.
Ukawa ya Lowassa haichaguliki, Slaa kaondoka na chadema halisi, chadema ya Slaa ndo inayokubalika.
Magufuli ndo rais
Ukweli utabaki kuwa ukweli
Ukawa wanaka sapoti sana sasa mzee kawakomesha
Mtajijuu
Wewe piga lakini hupunguzi ushindi
Dr. Slaa muliye mnunua?
Wewe sema humchagui usiseme watanzania maana sisi pia ni watanzania tunamuunga mkono.
pili yeye warioba wawezi kutupangia watanzania, kwani Warioba ni nani?
Mnapewa vipesa mnazani mtawabadili watanzania No.
Ni napiga kura kwa magufuli
Mzee mwenye hekima, busara, akili na maono makali ya wapi taifa hili linapaswa kwenda na nani awe dereva sahihi wa safari hii, jaji mstaafu/ waziri mkuu mstaafu Mzee Joseph Sinde Warioba kwa mara nyingine tena leo ktk kampeni za mgombea urais wa ccm mkoani Mara amesema watanzania tumchague Dr. JPM sababu ni muadilifu, mchapa kazi na hana kashfa za ufisadi.
Sasa sijui BAVICHA ya Lowassa watasemaje hapa maana walidhani mzee ni mpumbavu atawaunga mkono ktk 'mabadiliko' hasi yao!
Huyu mzee si wa kununuliwa hata kidogo.
Ni hayo tu!
WATANZANIA TUSHASEMA HATUMCHAGUI LOWASSA.
Utumwa wa kisiasa ni jambo baya sana...
Hivi huyu mzee hadi siku ile anachapwa vibao pale Blue Pearl si alikuwa anaiponda sana CCM kwa kupuuzia maoni ya Watanzania...
Tena akiwa na kina Prof Kabudi waliweza kuiita CCM kuwa imeshupaza shingo yake, lakini leo hii Warioba yupo kijiwe kimoja na hao washupaza shingo...
Hay ni baadhi tu ya athari za mwenye ugonjwa alionao Lowasaa, mengine ni haya hapa:
People may experience:
Tremor: can be postural, can occur at rest, in the hands, or limbs
Muscular: difficulty standing, difficulty walking, difficulty with bodily movement, involuntary movements, muscle rigidity, muscle twitch, problems with coordination, slow bodily movement, stiff muscles, or slow shuffling gait
Cognitive: amnesia, confusion in the evening hours, dementia, or difficulty thinking and understanding
Sleep: daytime sleepiness, early awakening, nightmares, restless sleep, or sleep disturbances
Sensory: distorted sense of smell, loss in contrast sensitivity, or loss of smell
Speech: impaired voice, soft speech, or voice box spasms
Facial: jaw stiffness or reduced facial expression
Urinary: dribbling of urine or leaking of urine
Whole body: dizziness, fatigue, or poor balance
Psychological: anxiety or depression
Also common: apathy, blank stare, constipation, difficulty swallowing, drooling, falling, fear of falling, neck tightness, restlessness, small handwriting, trembling, unintentional writhing, or weight loss
Sources: Mayo Clinic and others.
Sasa fikiri kumpa urais mtu kama huyo kama si upumbavu ni nini?