tanganyikakwanza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 493
- 187
Warioba ametoa maswali ambayo wanaotaka serikali mbili wanatakiwa wayajibu. Hakuna aliyejibu hadi sasa!
alikuwa busy USA akisoma kwa kodi zetuWewe ni kati ya wazee ambao hawana mchango wowote kwenye chama zaidi ya kuendeleza mipasho humu jamvini,hivi wewe na Mzee Warioba nani mzalendo ? rekodi ya utendaji wa Warioba inaeleweka kwa kila mtanzania,wewe embu tueleze umeifanyia nini nchi yetu ?
- Kuna swali moja linanitatanisha sana kwamba exactly Warioba anachokitaka hasa ni nini? Ameteuliwa kuongoza tume ya kukusanya maoni na sio siri badala ya kukusanya maoni ametengeza maoni na kuwa shujaa wa kutupasua Taifa, sasa ameshakabidhi maoni lakini kila siku kwenye vyombo vya habari kushindana na wasiotaka Serikali 3 WHY? Jana kuna mahali kwa maneno yake mwenyewe amesema kuna sehemu ambazo alijua kwamba Viongozi wa CCM wamepitia kwa hiyo maoni ya wananchi wake hakuyasikiliza kwa sababu aliamini wameambiwa cha kusema, sasa huo utaalamu Warioba ameutoa wapi na ni kweli Sheria ya Tume ilimruhusu kuamua achukue maoni ya nani na aache ya nani?
- Warioba nminataka kuamini ni msomi amewakilisha maoni yake kama alivyoombwa na Taifa, sasa vita ya nini hasa na wasiokubali maoni yake? Kwa kweli ninapata taabu sana kumuelewa sijawahi kusikia wala kuona something like this before, Warioba aliongoza Kamati kama hii ya Rushwa chini ya utawala wa Mkapa, kwanza hata ile ripoti sijui iliiishia wapi na sijawahi kumsikia Warioba akilalamika au akitetea ile ripoti, sasa kwenye hili la kulilia Serikali ya Tanganyika mbona ana vita vikubwa sana na Taifa kwamba ni lazima wote tukubali mawazo yake tu?
- AT SOME POINT SASA CCM TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI EXCATLY HUYU MZEE ANATAKA NINI KWENYE CRIMINOLOGY TUNASEMA THERE IS SOMETHING BIGGER THAT WHAT WE ARE SEEING HERE WITH OUR EYES, HAIWEZEKANI NA NINASHINDWA KUAMINI KINACHOENDELEA, Warioba ameshawakilisha maoni ya supposedly tume yake na kwamba ndio maoni ya wananchi, mjumbe wa Bakwata amesimama bungeni na kusema wazi kwamba kilichosemwa kwenye Tume ya Warioba sicho walichomwambia, tunaambiwa kwamba kuna sekta nyingi sana za Serikali ambazo zilitaka Serikali 2 Warioba wala hakuweka maoni yao kwenye Rasimu, I mean why all these from one man?
- HIVI KWELI CCM MPAKA TUMEJIRIDHISHA KWAMBA WARIOBA NI ONE MAN DOING ALL THESE OPPOSITION? HAPANA MIMI SIAMINI KABISA KUNA SOMETHING BIGGER THAN WHAT WE ARE SEEEING WITH OUR EYES WHAT IS THAT? WHAT IS THAT? WHO IS INVOLVED? WHERE? WHY? WHAT?
- I MEAN CCM NA WALE WOTE TUNAOTAKA SERIKALI 2 NI LAZIMA TUKAE CHINI NA KUTAFAKARI ZAIDI YA TUNAVYOFANYA SASA, SOMETHING IS A MISS HERE LAZIMA KUNA A BIGGER PICTURE BEHIND ALL THESE!!
- SOMA GAZETI LA JAMBO LEO JUMAPILI I WILL BREAK DOWN THESE THINGS KAMA KAWAIDA WARIOBA ANATAKA NINI HASA?
Le Mutuz System
Ninachoshindwa kuwaelewa watu wengine, tena vijana wadogo, ni pale wanapoona si halali kumkosea heshima mzee wetu Marehemu Mwalimu Nyerere lakini wanaona ni sahihi kumtukana na kumkashifu Mzee Warioba na Wazee wengine wote waliokuwa kwenye Tume kwa sababu tu wana maoni tofauti na yale ya wananchi waliohojiwa na Tume.
- Sasa umekuja kujibu pointless topic inasema nini kuhusu wewe as individual kaka? ha1 ha! ha!
Le Mutuz System
How/why you guys single out Warioba (while you are fully aware that he was only one amongst a whole army of professionals and dignitaries in his committee - the Kabudis, Ramadhanis, Salims, etc) is well beyond me!!
Beats simple logic...
Kama ulisikiliza kipindi cha jana cha Dakika 45 (ITV) usingeleta hii hoja, najua unasikiliza na kuangalia TBC na Radio Uhuru, lakini inabidi mara moja moja uwe unatune TV station nyingine pia. Hata hivyo nimeweka swali, badala ya kujibu, ukauliza swali! Nilisema hivi, Warioba ametoa maswali ambayo wanaotaka serikali mbili wanatakiwa wayajibu. Hakuna aliyejibu hadi sasa!- Mpaka leo Warioba ameshindwa kujibu swali moja tu la msingi Serikali ya shirikisho itapata wapi pesa? Rais wa Tanganyika ndio atakuwa the most powerful man kwenye shirikisho sasa eti ni kwa nini akubali kuongozwa na Rais wa Shirikisho na huku ana kila kitu within his power kwenye Shirikisho atakwenda kutafuta nini hasa ambacho hatakuwa nacho kwenye Tanganyika?
Le Mutuz System
- Mpaka leo Warioba ameshindwa kujibu swali moja tu la msingi Serikali ya shirikisho itapata wapi pesa? Rais wa Tanganyika ndio atakuwa the most powerful man kwenye shirikisho sasa eti ni kwa nini akubali kuongozwa na Rais wa Shirikisho na huku ana kila kitu within his power kwenye Shirikisho atakwenda kutafuta nini hasa ambacho hatakuwa nacho kwenye Tanganyika?
Le Mutuz System
Le Mutuz wewe nenda tu viwanja ukale maisha na vimwana huku kwenye siasa hatukuhitaji kwasababu huna umuhimu wala historia yoyote kwenye siasa.Please tumechoka kelele zako.
Ninachoshindwa kuwaelewa watu wengine, tena vijana wadogo, ni pale wanapoona si halali kumkosea heshima mzee wetu Marehemu Mwalimu Nyerere lakini wanaona ni sahihi kumtukana na kumkashifu Mzee Warioba na Wazee wengine wote waliokuwa kwenye Tume kwa sababu tu wana maoni tofauti na yale ya wananchi waliohojiwa na Tume.
sasa wewe mzee unataka warioba akae kimya hata pale panapohitajika ufafanuzi, mnataka akae kimya ili muendelee kupotosha watu na hila zenu? mwacheni huyu mzee ajibu hoja na nyinyi pia jibuni hoja zake kuliko kuendeleza kashfa na matusi.
Tunachotaka ni serikali 3 kama hamtaki serikali tatu kwa kisingizi cha gharama basi twendeni kwenye serikali moja ambayo ndio muarobaini wa hizo gharama mnazokimbia
Usipokuwa na busara unaweza kumsemea warioba maneno mabaya kabisa mimi nashangaa tangu lini warioba kawa msemaji wa watanzania kama siyo kukosa uzalendo na kutaka kuvunja nchi ni nini.