Warioba Anataka Nini Hasa?


ufafanuzi apo kwenye serikali tatu chi moja inakuwaje? labda ungesema serikali tatu nchi mbili ningekuelea kwa sababu uwepo wa mipaka inayokubalika watu na hostoria inayofanana tayari ni nchi hiyo.
 
Tanganyika yetu lazma irudi, 2mechoshwa na huu muungano wa kibaguzi unaowafaidisha wapemba peke yao alafu wao ndio wakwanza kulalamika.
 

Sure! Something is a miss...and It starts with you Mr malecela na watu wako wenye mawazo mgando, na wasiotaka kwenda na wakati kwa kuhofia kuporwa mianya ya kunyonya waliyojiwekea miaka dahali, na kushindwa kwao kulinda na kutetea katiba, hata walipoona inavunjwa kweupee.

Sasa baada ya kuona wananchi wameamka na kudai haki zao za kijamii wanakuja na visingizio vya kijinga eti wanataka kumuenzi baba wa taifa, huku wakifahamu fika ufisadi wao, ukiukwaji wao wa miiko ya viongozi, sera yao ya utajirisho binafsi ni kinyume na fikra na itikadi za mwalimu Nyerere.

Kwa kuona hawana kwa kukwepea sasa wanamkabili Jaji warioba kwa matusi na kejeli kana kwamba yeye ndiye aliyejiteua kuwa mwenyekiti wa tume, na ndiye binafsi aliyejipinda na kutunga rasmi ya katiba mpya, wakati ni wazi kuwa Rasimu ya katiba mpya ni matokeo ya kazi ya tume kukusanya maoni ya wananchi nchi nzima, tume ilijumuisha watu wenye sifa zilizotukuka na heshma katika jamii, kuliko wasanii wetu wa mipasho km capt komba na Lukuvi, na ilipita nchi nzima kukusanya maoni ya wananchi.

Sasa inapofikia mahala wajumbe wa bunge la katiba wanaacha kujadili kilichowapeleka bungeni na kuanza kumtukana matusi ya nguoni jaji warioba, na kupotosha ukweli uliobainishwa katika rasimu hiyo, si jambo la ajabu warioba kama raia huru kujibu mapigo na kutoa ufafanuzi ili wananchi waelewe.

Kwa hilo chama tawala kinajipalia makaa na ndio dibaji la kung'atuliwa madarakani. ( kama vyama mbadala vitakuwa makini kutumia mwanya huo). Wanasiasa ni adui namba moja wa maendeleo ya nchi hii.
 

Baba yako muumini wa serikali 3 wewe nani uzipinge
 
mr william. rasimu ya katiba sio ya warioba. ni ya tume.
warioba alikuwa mwenyekiti tu.
tambua kwamba tume iliundwa na rais na tumeambiwa tume hadi kukamilisha kazi yake imetumia fedha za walipa kodi tsh 33 bilion.
tume ilifanya kazi yake kwa weledi mkubwa na kwa mujibu wa sheria.
warioba kama mwenyekiti wa tume anaamini amefanya kazi vizuri kwa mujibu wa taratibu zote.
lazima alalamike kama jinsi tulivyoshuhudia bungeni watu wamemzalilisha wakati amefanya kazi ya kitaifa.
Halafu kwa akili zako embu jiulize kwa nini warioba alipewa nishani ya utumishi uliotukuka wa kulinda muungano siku za sherehe za muungano hiyo juzi.g
bro think out of the box .
halafu sometimepost zako zimekaa kikada sana kulipo kizalendo unaudhigi kishenzi .
halafu warioba sio saizi yako amekuacha mbali sana huna uwezo wa kupingana na hoja zake za kizalendo.
wewe pia nimsakatonge
 
Mzee Warioba kama watanzania wengine ana uhuru wa kuchambua au kuwakilisha maoni yake kwa chombo chochote ndani na nje ya nchi as long as havunji sheria. SISIEMU wanajiumauma tu, Zanzibar ilishajitangaza kuwa ni nchi kamili na katiba yao inasema hivyo. If that the case, Tanganyika iko wapi? Kama kweli SISIEMU iko serious na huo so called "Muungano" basi watumie influence yao au kuwalazimisha wazinzibar wafute hicho kifungu kinachowapa uhuru zaidi wa kujiamuria mambo yako including Rais wao kupigiwa mizinga 21 mbele ya Rais wa JMT. Mmeachiwa Bunge Maalum la Katiba, fanyeni mpendavyo mapema sana kuokoa pesa za walala puu. Zaidi yao hapo Khadija Kopa anatumbuiza Buguruni, naamini una kipaji cha taarabu tofauti kabisa na Mzee Warioba.
 
ufafanuzi apo kwenye serikali tatu chi moja inakuwaje? labda ungesema serikali tatu nchi mbili ningekuelea kwa sababu uwepo wa mipaka inayokubalika watu na hostoria inayofanana tayari ni nchi hiyo.

Je umepata kuipitia Rasimu ya Katiba Mpya ya kwanza na ya pili. Kama bado fanya hivyo na utaelewa Serikali Tatu-Nchi Moja.

 
Jamaa wanaweweseka, ngoja wakati wa kura ya maoni ndio mtajua anataka nini
 
Kaka zile degrees za mamtoni vipi ukalinganisha na uelewa pamoja na usomi wa aliyewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali ya JMT Jaji Warioba. Ni kweli uliposti hiyo kwenye blog yako kwa kukosea spelling pamoja na lugha za akina Khadika Kopa huku ukiwa kiongozi wa chama?
 
Mkuu Warioba katoa maoni ya wananchi, na siyo ya kwake.
Ni kama kutazama kioo na usipende picha unayoiona, halafu ukakitukana kioo!
Kama kuna uongo katika ripoti yake swala ni simple, maoni yamechukuliwa kwa njia ha video,tapes na picha refer to them for clarity.
 

Huyo jamaa asipokuelewa wewe hata mimi sihangaiki naye...!
 
Mlipokuwa mkituibia kura zetu tuliumia hivyohivyo mkachekelea. Sasa mkuki kwa nguruwe.....usichanganyikiwe bro...tulia dawa iingie!!!
 
Ndiyo maana hata serikali ilimshinda wakati akiwa waziri mkuu mpaka akajiudhuru wadhifa wake ni miongoni mwa watu wa hovyo kabisa wanaopenda kulazimisha mambo hata kama hayana maana yapite.
we hufahamu, Jaji wa Rioba ni aina ya watu wanaoamini na kukisimamia kile wanachokisema. Sio kama Vasco Dagama anaengalia upepo nayeye akafuata kama bendera. Mr. dhaifu hovyo kabisa na atalitumbukiza taifa katika balaa kutoka na tabia yake ya kupenda sifa zisizokuwa na maana.
 
Mleta mada akienda chooni anakunya akili, mavi anaacha kichwani.


Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
 
...Eeeh!...hivi wewe kwa akili yako na uwezo wako wa kufikiri unajiona una ubavu wa kubishana au kumkosoa Mh Jaji Joseph Sinde Warioba? Baba yako mwenyewe, Mzee wetu Mheshimiwa John Malecela anamheshimu Jaji Warioba...ukiwa huna cha kuandika ukaage kimya, vinginevyo ni kujitia aibu tu mzee mzima kama wewe.. BE OF YOUR AGE!
 
- Warioba anajua kwamba bungeni kwenye uamuzi hakuna kura za Serikali 3 sasa anapigania nini hasa? Mimi naomba kusema wazi bila kuficha sina heshima na kiongozi yoyote anayeshauri kuvunja Muungano, ili u-replace na nini hasa?

Le Mutuz System

Darasa la Warioba ni gumu sana kwa vichwa vya nazi. Ndiyo maana mnaelewa kinyumenyume...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…