Warembo warembo - Hii game ningekuwemo

Warembo warembo - Hii game ningekuwemo

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
754
_DSC0367.JPG


_DSC0379.JPG
IMG_2901.jpg
 
hivi jamani siku hizi mabinti zetu hawana ubunifu mwingine wa kufanya zaidi ya mashindano ya urembo? yaani inaboa kupita mipaka. kule kulikotokea mashindano ya urembo (nchi za nje) hawana ulimbukeni kama wetu- eti mara miss kitongoji, mara miss temeke, mara miss sharobaro na upuuzi mwingine.

mabinti tafuteni ubunifu mwingine, tumewachoka. isitoshe wengi wenu mna mvuto wa kulazimisha. manywele bandia na mikorogo kibao. wengine miguu kama korongo a.k.a spoko za baiskeli.
 
staying naked-the highest stage of moral decay
 
Nadhani unamaanisha kulia au hoyo wa kushoto aliesinzia ndio kakukuna ?
aliyevaa nguo ya rangi ya cream na ameshika leso mkononi,, dah ni mzuri, i wonder what z she doing hapo, badala ya kutulia na mume!!!! i knw hakocc mtu huyuu anayempenda kwa dhatiiii"""!!!! dah nimemkubalii saanaaa, natamani nionane naye uso kwa uso!!!
 
hivi jamani siku hizi mabinti zetu hawana ubunifu mwingine wa kufanya zaidi ya mashindano ya urembo? yaani inaboa kupita mipaka. kule kulikotokea mashindano ya urembo (nchi za nje) hawana ulimbukeni kama wetu- eti mara miss kitongoji, mara miss temeke, mara miss sharobaro na upuuzi mwingine.mabinti tafuteni ubunifu mwingine, tumewachoka. isitoshe wengi wenu mna mvuto wa kulazimisha. manywele bandia na mikorogo kibao. wengine miguu kama korongo a.k.a spoko za baiskeli.
wanampango wa kuanzisha miss kitaa, miss nyumba kumi, miss familia mahali ambapo hata shetani atawakana dada zete.
 
AISEEE bongo kuna warembo..yaani naona utaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamu...:dance:
 
hivi jamani siku hizi mabinti zetu hawana ubunifu mwingine wa kufanya zaidi ya mashindano ya urembo? yaani inaboa kupita mipaka. kule kulikotokea mashindano ya urembo (nchi za nje) hawana ulimbukeni kama wetu- eti mara miss kitongoji, mara miss temeke, mara miss sharobaro na upuuzi mwingine

mabinti tafuteni ubunifu mwingine, tumewachoka. isitoshe wengi wenu mna mvuto wa kulazimisha. manywele bandia na mikorogo kibao. wengine miguu kama korongo a.k.a spoko za baiskeli.

Kaka umeongea ya kweli kabisa, a lot of money is spent there wakati kuna vipaumbele vikubwa kuliko huu upuuzi.....ila ndio hivyo hata tukiongea hatuwezi kusikika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom