Warembo hapa!

Warembo hapa!

katusyo

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
1,455
Reaction score
434
Natafuta rafiki wa kike ambaye tutashilikiana na na kusaidiana mambo mbalimbali, mrembo huyu ni vizuri asiwe mke wa tu lakini awe na mpenzi mmoja yani mimi niwe wa pili, alafu ni vizuri akanitambulisha kwa huyo mpenzi wake ili niwe namuheshim, lengo langu ni urafiki udumu akinunua simu yeye mimi nitakuwa nanunua vocha ili usimchoshe anunue simu na vocha ajaze yeye? Akinunua nguo mimi nanunua viatu, ili tusichoshane mapema.

Alietayali anitafute
 
Natafuta Rafiki Wa Kike Ambaye Tutashilikiana Na Na Kusaidiana Mambo Mbalimbali, Mlembo Huyu Ni Vizuri Asiwe Mke Wa Tu Lakini Awe Na Mpenzi Mmoja Yani Mimi Niwe Wa Pili, Alafu Ni Vizuri Akanitambulisha Kwa Huyo Mpenzi Wake Ili Niwe Namuheshim, Lengo Langu Ni Urafiki Udum Akinunua Sim Yeye Mimi Nitakuwa Nanunua Vocha Ili Usimchoshe Anunue Sim Na Vocha Ajaze Yeye? Akinunua Nguo Mimi Nanunua Viatu, Ili Tusichoshane Mapema, Alietayali Anitafute

Walembo ndiyo nini?
 
Lakini Turudi Kwenye Mada Je? Napata Hitaji Langu Au Rugha Itanikosesha? Bahati Mbaya Au Nzuri Mimi Ni Mtaalam Wa Kiportguezi Lani Mabint Wa Kiportguezi Sijawaelewa Kabisa Ndio Maana Nimeona Nitafute Nyumbani Sasa Naona Wanaume Mmpanic Zaidi Kuliko Wanawake Au Mmekava Kila Kona Mmehoeu Tangazo Mmehisi Madem Zenu Watachepuka?
 
Lakini Turudi Kwenye Mada Je? Napata Hitaji Langu Au Rugha Itanikosesha? Bahati Mbaya Au Nzuri Mimi Ni Mtaalam Wa Kiportguezi Lani Mabint Wa Kiportguezi Sijawaelewa Kabisa Ndio Maana Nimeona Nitafute Nyumbani Sasa Naona Wanaume Mmpanic Zaidi Kuliko Wanawake Au Mmekava Kila Kona Mmehoeu Tangazo Mmehisi Madem Zenu Watachepuka?
Hata wa kibongo hawawezi kukuelewa....kwa namna hii...nenda pale kona baa..hauna haja ya kuongea chochote ni tarakimu tu utawapata wengi...
 
Back
Top Bottom