The Informer
Senior Member
- Jun 14, 2010
- 119
- 29
Taarifa hii ya PM aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya Richmond imesambazwa kwa vyombo vya habari sasa hivi na: AIKA JUNIOR <aika_junior@yahoo.com>
"KUZIFAHAMU VYEMA SIASA ZA NCHI HII!"
itabidi na rostam awe waziri wa fedha. Ridhiwani mambo ya nje na ushirikiano wa kimafisadi
jizi kubwa nyangau.yaani wewe lowasa unamkumbuka nyerere?!! Bila aibu utalaaniwa wewe.umeibia nchi hii sh ngapi? Watch out fisadi wewe.siku zenu za kutuibia zimekaribia kuisha kabisa ndio mana mna kiwewe.
Presha zitawaua, eti slaa hajui siasa you wake uuuupppppppppppppppppp. Kwasababu hajaiba kama nyie ndio mana hajui siasa.
hivi ni kweli kwamba nyerere alimkataa lowasa? Hivi kwa nini alimkataa?
Nyerere nasikia alimwambia Lowasa Kijana mdogo utajiri wote huu ameutoa wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Baada ya kuambiwa hayo Lowasa akaenda kujipanga na kuorodhesha assets zake zote na jinsi alivyozipata then akaenda kwa mwalimu kujidani upya kule Butiama ili mwalimu amsafishe EL.
Baada ya presentation ya mali zake Mwalimu akamwambia EL ata aliyekuandalia amejitaidi then mwalimu akatoa doc yake EL aliondoka bila kuaga.
Alijua mwalimu zuzu kuwa hajui data zake
Alimwita akamuorodheshea mali anazo miliki na yeye el akasema kuwa si zake ila watu wanamsingizia.
Nyerere akamwambia kule Roma mke wa mkuu wa Roma alizushiwa kazini akatuma intelijensia yake kuchunguza wakakuta kweli mke wake alikuwa analiwa nje ila wakamnusuru kwa kumwambia bwana mkubwa kuwa mke wake hakuliwa ila anazushiwa! Lakini bwana mkubwa akamwacha kwa kuwa tayari alikua keshaingia dosari.
Kwa hadith hiyo inasemekana kwa maneno kusemwa ina maana ni kweli ana miliki mali hizo na isingekuwa busara kwake kuwania nafasi hiyo!
Hivi ni kweli kwamba Nyerere alimkataa Lowasa? Hivi kwa nini alimkataa?
Itabidi na Rostam awe waziri wa Fedha. Ridhiwani mambo ya nje na ushirikiano wa kimafisadi