sr bachelor
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,198
- 797
Eti warioba anataka umaarufu..watanzania watu wajinga sana
Wasira ni nduli, akipewa nchi atapiga watu risasi.
Unaliwa na huyo warioba nn hats mwandiko wako unaliwa 0712...
Kama wapambe wenyewe wa Wasira ni wewe basi hata yeye sio mzima.
Eti warioba anataka umaarufu..watanzania watu wajinga sana
Mimi mtanzania na sisi(mimi na wewe) ni wajinga sana kama tutafikiria warioba anataka umaarufu..nina wasiwasi pia kilaza wasira alikua anaichafua rasimu ya warioba ili kulipa kisasi na mashindano usikute ni one of the reason..We si msomali
Jana nilipata kusikia
kuwa jaji warioba kaandika waraka mzito kwa mh. wassira juu ya
anachokifanya sasa kupotosha rasmi ya katiba na mambo mengi juu ya ubaya
wa wasira na misimamo yake sasa.
Na kikubwa kuelezea alivyomfanya kukimbia/kufukuzwa CCM na kuelekea
NCCR. pls mwenye nao hatuweke hapa tusome.
Chanzo: Mwananchi
Waraka wa Warioba ni mzuri.
Bila shaka Mr Tyson anatafuta pa kutokea. Warioba ni mwanachama wa CCM si CCM! Kama kungekuwa na tatizo kipindi hicho, basi angepeleka malalamiko CCM na si kukimbia chama. Ni aibu kwa mtu anayehamahama kwenye vyama akagombea nafasi ya urais kama vile hamna waadilifu na wakereketwa ndani ya chama.
Bila shaka anaposisitiza kuwa UKAWA warudi kwenye vikao vya BMK angetakiwa kujua kuwa hiyo principle ilikuwepo ndani ya CCM tangu enzi hizo za Warioba. Na alichotakiwa kukifanya ni kujisalimisha kwenye chama na si kwenda NCCR.
Anjo
Siku zote Msemakweli ni ADUI wa ccm!Warioba kawa adui no 1 wa ccm
Namshauri walioba ange staafu SIASA kama alivyo fanya Msuya,heshima yake inakwisha na atakufa bila heshima.......