Jana I.G.P S.Mwema alisambaza waraka kwa ma-RPC wote Tz nzima kuwataka waitishe "MABARAZA YA ASKARI" ktk mikoa yote,lengo likiwa ni kutathimini mwenendo wa Jesh la polisi dhidi ya raia. Katika Mabaraza hayo Askari walipewa nafasi kujadili,kutoa mawazo na kupendekeza nini kifanyike baada ya Jesh kupoteza imani kwa raia na jamii. Katika waraka huo wa siri I.G.P aliwataka makamanda wawatie moyo vijana wasikate tamaa,kwan kwa tukio la Iringa imeonekana askari wote wamerudi nyuma na kupunguza hari ya kazi,hii imefanya viongozi wa juu kupata hofu ya utayali wa askari ktk kulitumikia jeshi... Katika maoni,askar wengi wamependkeza RPC Iringa aunganishwe ktk kesi,kwani kumwacha Cleophas Simon peke yake n uonevu,pia wameomba serikali iwakemee viongozi wa CCM wanaoshndkza polisi kuwatandka vyama vya upinzani..ktk kikao cha mkoa wa Iringa askari wengi wameonekana kukata tamaa na kutaka kuacha kazi...hali ya askari wa chini wanaotumika ktk Operation za riots imeshuka sana kwa kutishika na tukio la Iringa. Vijana wengi wameonekana kuchukizwa na hali ya kulazimishwa kutumia nguvu kwa maslahi ya kisiasa,kwa kugundua hilo makamanda wamewatia moyo vijana wengi kuwa wasikate tamaa,kwani swala la Iringa n sehemu ya ajali za kazini ambazo wao kama askari wanatakiwa wakabiliane nazo! Kiukweli vijana wengi wamekata tamaa baada ya kuona panapotokea tatizo ni askari wa vyeo vya chini ndo wanatolewa kafara bila kufuata uwajibikaji wa pamoja na Seniority ya jeshi la polisi ambapo mdogo hafanyi kitu bila mkubwa kutoa amri.
Upuuzi mtupu huo!!!! Mabaraza ya askari ni kamati za kisiasa na matawi ya CCM ndani ya jeshi linalotakiwa kuwa non-political, non-partisan and professional.
Kinachotakiwa ni Polisi kufuata mahitaji ya katiba na general Police orders period.
kwamba vyama vya siasa vinatakiwa kutoa taarifa (sio kuomba kibali) kwa polisi saa 48 kabla ya kufanya mkutano au maandamano;
kwamba kufanya mikutano na maandamano ni haki ya vyama vya siasa ili kukidhi mahitaji ya katiba ya uhuru wa kukusanyika na kutoa maoni bila kuvunja sheria.
Kinacholipelekea jeshi la polisi kupoteza imani ya wananchi ni utayari wake wa kutumika kisiasa kwa mahitaji ya chama tawala CCM; na kujipa madaraka lisilokuwa nayo ya kuamua kama chama cha siasa cha upinzani kifanye mkutano ua la! ni hilo tu na halihitaji kutumwa na CCM kuunda mabaraza ya polisi, hatua hiyo ni sawa na nchimbi kuunda tume ya kuchunguza mauaji ya David Mwangosi wakati vielelezo vyote vipo wazi na wauaji wanajulikana kwa majina, sura na makazi yao!!!
Kama kweli Saidi Mwema ni askari wa haja asitupotezee muda bali afanye the right thing kwa kukataa CCM kulitumia jeshi la polisi kwa maslahi yao ya kisiasa.
afterall ni CCM wenyewe ambao kwa makusudi kabisa wamejipaka matope kwa ufisadi na rushwa na kugenisha raslimali za taifa bila kujali maslahi ya taifa, wananchi wameligundua hilo na ndio maana Chadema imepata nguvu ya kuitetemesha serikali, wasitafute mchawi mbali , mchawi wao ni wao wenyewe kwa kuliibia taifa bila huruma, sasa maji yamewafika shingoni wanathubutu kulitumia jeshi la polisi kulinda uovu wao! But as long as umma umeamka; hawataweza; hawatweza, hawataweza.
Right is devine; it will forever prevail. Eeh Mungu iokoe Mama Tanzania kutoka mikono ya wadhalimu hawa CCM waliomzika Baba wa Taifa kwa gharama kubwa na mbwembwe nyingi kisha siku chache baadaye wakaizika misingi ya uadilifu aliyoijenga muasisi huyo wa taifa letu.