Waraka wa I.G.P kwa Askari wote Tz

Ngaliba Dume

JF-Expert Member
Oct 6, 2010
1,710
3,669
Jana I.G.P S.Mwema alisambaza waraka kwa ma-RPC wote Tz nzima kuwataka waitishe "MABARAZA YA ASKARI" ktk mikoa yote,lengo likiwa ni kutathimini mwenendo wa Jesh la polisi dhidi ya raia. Katika Mabaraza hayo Askari walipewa nafasi kujadili,kutoa mawazo na kupendekeza nini kifanyike baada ya Jesh kupoteza imani kwa raia na jamii. Katika waraka huo wa siri I.G.P aliwataka makamanda wawatie moyo vijana wasikate tamaa,kwan kwa tukio la Iringa imeonekana askari wote wamerudi nyuma na kupunguza hari ya kazi,hii imefanya viongozi wa juu kupata hofu ya utayali wa askari ktk kulitumikia jeshi... Katika maoni,askar wengi wamependkeza RPC Iringa aunganishwe ktk kesi,kwani kumwacha Cleophas Simon peke yake n uonevu,pia wameomba serikali iwakemee viongozi wa CCM wanaoshndkza polisi kuwatandka vyama vya upinzani..ktk kikao cha mkoa wa Iringa askari wengi wameonekana kukata tamaa na kutaka kuacha kazi...hali ya askari wa chini wanaotumika ktk Operation za riots imeshuka sana kwa kutishika na tukio la Iringa. Vijana wengi wameonekana kuchukizwa na hali ya kulazimishwa kutumia nguvu kwa maslahi ya kisiasa,kwa kugundua hilo makamanda wamewatia moyo vijana wengi kuwa wasikate tamaa,kwani swala la Iringa n sehemu ya ajali za kazini ambazo wao kama askari wanatakiwa wakabiliane nazo! Kiukweli vijana wengi wamekata tamaa baada ya kuona panapotokea tatizo ni askari wa vyeo vya chini ndo wanatolewa kafara bila kufuata uwajibikaji wa pamoja na Seniority ya jeshi la polisi ambapo mdogo hafanyi kitu bila mkubwa kutoa amri.
 
Jeshi la magamba limeanza kuweweseka. Walidhani Watanzania tutaunyamazia UDHALIMU wao wa kuwaua Watanzania wasio na hatia milele. Jeshi la polisi linanuka rushwa, limejaa wauaji na wabambikiaji kesi zisizo na kichwa wala miguu ili kujionyesha kwamba ni watendaji kazi wazuri. Bila fagio la nguvu kupita ndani ya jeshi la polisi jeshi hilo litaendelea kutoaminiwa na kuheshimiwa na Watanzania walio wengi.
 
Yes, ili kuwatendea haki askari wa vyeo vya chini na raia kwa ujumla Kamuhanda anastahili kushtakiwa no.1.
 
Very sad kutomuunganisha RPC wa Iringa katika case hii,hasa kwa kuwa alikuwepo pia eneo la tukio.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Hofu yangu ni mantiki ya thread hii. Kwamba jana hiyo IGP alisambaza waraka kwamba pawepo na Mabaraza ya “Wapiga Raia na Uhai wao", jana hiyo hiyo hayo mabaraza yameanza kukutana na kutoa maoni yao halafu hiyo jana Makamanda wakafanya tathmini ya Kushuka kwa ari na wakatiwa moyo!

Mbali na hiyo logic, nakubaliana nawe kwamba vijana hao wanaitenda dhambi ya kutupasua matumbo ili ccm ipate kuishi.
 
Very sad kutomuunganisha RPC wa Iringa katika case hii,hasa kwa kuwa alikuwepo pia eneo la tukio.Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Mimi nadhani tatizo hasa linatokana na kile kinachoitwa general order za polisi zinazomtaka askari kutii amri bila kuhoji uhaklali au ubatili wa amri. mfimo huu ambao umeridhiwa toka kwa mwingereza umepitwa na wakati.mfumo mbovu unaogandamiza uhuru na haki za kiraia kwenye nchi huru. bila kuzibadili bado tutaendelea kuganga majeraha na kuzika wafu wetu ambapo pengine kesho ikawa zamu yangu au yako.
 
Jana I.G.P S.Mwema alisambaza waraka kwa ma-RPC wote Tz nzima kuwataka waitishe "MABARAZA YA ASKARI" ktk mikoa yote,lengo likiwa ni kutathimini mwenendo wa Jesh la polisi dhidi ya raia. Katika Mabaraza hayo Askari walipewa nafasi kujadili,kutoa mawazo na kupendekeza nini kifanyike baada ya Jesh kupoteza imani kwa raia na jamii. Katika waraka huo wa siri I.G.P aliwataka makamanda wawatie moyo vijana wasikate tamaa,kwan kwa tukio la Iringa imeonekana askari wote wamerudi nyuma na kupunguza hari ya kazi,hii imefanya viongozi wa juu kupata hofu ya utayali wa askari ktk kulitumikia jeshi... Katika maoni,askar wengi wamependkeza RPC Iringa aunganishwe ktk kesi,kwani kumwacha Cleophas Simon peke yake n uonevu,pia wameomba serikali iwakemee viongozi wa CCM wanaoshndkza polisi kuwatandka vyama vya upinzani..ktk kikao cha mkoa wa Iringa askari wengi wameonekana kukata tamaa na kutaka kuacha kazi...hali ya askari wa chini wanaotumika ktk Operation za riots imeshuka sana kwa kutishika na tukio la Iringa. Vijana wengi wameonekana kuchukizwa na hali ya kulazimishwa kutumia nguvu kwa maslahi ya kisiasa,kwa kugundua hilo makamanda wamewatia moyo vijana wengi kuwa wasikate tamaa,kwani swala la Iringa n sehemu ya ajali za kazini ambazo wao kama askari wanatakiwa wakabiliane nazo! Kiukweli vijana wengi wamekata tamaa baada ya kuona panapotokea tatizo ni askari wa vyeo vya chini ndo wanatolewa kafara bila kufuata uwajibikaji wa pamoja na Seniority ya jeshi la polisi ambapo mdogo hafanyi kitu bila mkubwa kutoa amri.

tuwekee hapa nakala ya huo waraka ndo tuchangie.
 
Kwelii...sasa wakati umefika askari wawe na msimamo na mipaka yao ya kazi iwe inajulikana wasiamrishwe na wanasiasa kulinda udhalimu wao!watekeleze majukumu kwa weledi si utashi wa kisiasa!!RPC lazima aunganishwe na yule kijana "bangusilo"hapo ari ya askari wengi itarejea na kuona its fair na ile ilikuwa ajali kazini!!
 
Waraka umewafikia makamanda toka juzi jioni..na jana walitakiwa kuitisha vikao,na wamefanya hivo..
Hofu yangu ni mantiki ya thread hii. Kwamba jana hiyo IGP alisambaza waraka kwamba pawepo na Mabaraza ya “Wapiga Raia na Uhai wao", jana hiyo hiyo hayo mabaraza yameanza kukutana na kutoa maoni yao halafu hiyo jana Makamanda wakafanya tathmini ya Kushuka kwa ari na wakatiwa moyo!

Mbali na hiyo logic, nakubaliana nawe kwamba vijana hao wanaitenda dhambi ya kutupasua matumbo ili ccm ipate kuishi.
 
Jana I.G.P S.Mwema alisambaza waraka kwa ma-RPC wote Tz nzima kuwataka waitishe "MABARAZA YA ASKARI" ktk mikoa yote,lengo likiwa ni kutathimini mwenendo wa Jesh la polisi dhidi ya raia. Katika Mabaraza hayo Askari walipewa nafasi kujadili,kutoa mawazo na kupendekeza nini kifanyike baada ya Jesh kupoteza imani kwa raia na jamii. Katika waraka huo wa siri I.G.P aliwataka makamanda wawatie moyo vijana wasikate tamaa,kwan kwa tukio la Iringa imeonekana askari wote wamerudi nyuma na kupunguza hari ya kazi,hii imefanya viongozi wa juu kupata hofu ya utayali wa askari ktk kulitumikia jeshi... Katika maoni,askar wengi wamependkeza RPC Iringa aunganishwe ktk kesi,kwani kumwacha Cleophas Simon peke yake n uonevu,pia wameomba serikali iwakemee viongozi wa CCM wanaoshndkza polisi kuwatandka vyama vya upinzani..ktk kikao cha mkoa wa Iringa askari wengi wameonekana kukata tamaa na kutaka kuacha kazi...hali ya askari wa chini wanaotumika ktk Operation za riots imeshuka sana kwa kutishika na tukio la Iringa. Vijana wengi wameonekana kuchukizwa na hali ya kulazimishwa kutumia nguvu kwa maslahi ya kisiasa,kwa kugundua hilo makamanda wamewatia moyo vijana wengi kuwa wasikate tamaa,kwani swala la Iringa n sehemu ya ajali za kazini ambazo wao kama askari wanatakiwa wakabiliane nazo! Kiukweli vijana wengi wamekata tamaa baada ya kuona panapotokea tatizo ni askari wa vyeo vya chini ndo wanatolewa kafara bila kufuata uwajibikaji wa pamoja na Seniority ya jeshi la polisi ambapo mdogo hafanyi kitu bila mkubwa kutoa amri.

Kwa njia ya email,posta...
 
sijafikia kiwango cha kutunga story!uliza polisi watakwambia

Awaulize Polisi au awaulize ma RPC? hapa nilipo mimi nipo na Polisi ni rafiki yangu na na yeye ni Polisi wa Mahakamani na huwa havai uniform, ni kwamba jana Polisi wote walipewa amri ya kuvaa uniform kwa ajili ya kukabili maandamano ya waislamu lakini rafiki yangu alivyofika pale Central Polisi alisingizia amefiwa na akaruhusiwa kwenda kuzika lakini ilikuwa ni fix yeye hayko tayari kutumika kwenye ujinga.

Back to topic ni vizuri kama una hizo Information ungetuwekea huo waraka hapa lakini usiseme waulize Polisi, maana hao Polisi baadhi yao ambao ni wema tuko nao na kama kuna hilo wanalifahamu mimi ningekuwa nimelijuwa. Ila sijakupinga.
 
Jana I.G.P S.Mwema alisambaza waraka kwa ma-RPC wote Tz nzima kuwataka waitishe "MABARAZA YA ASKARI" ktk mikoa yote,lengo likiwa ni kutathimini mwenendo wa Jesh la polisi dhidi ya raia. Katika Mabaraza hayo Askari walipewa nafasi kujadili,kutoa mawazo na kupendekeza nini kifanyike baada ya Jesh kupoteza imani kwa raia na jamii. Katika waraka huo wa siri I.G.P aliwataka makamanda wawatie moyo vijana wasikate tamaa,kwan kwa tukio la Iringa imeonekana askari wote wamerudi nyuma na kupunguza hari ya kazi,hii imefanya viongozi wa juu kupata hofu ya utayali wa askari ktk kulitumikia jeshi... Katika maoni,askar wengi wamependkeza RPC Iringa aunganishwe ktk kesi,kwani kumwacha Cleophas Simon peke yake n uonevu,pia wameomba serikali iwakemee viongozi wa CCM wanaoshndkza polisi kuwatandka vyama vya upinzani..ktk kikao cha mkoa wa Iringa askari wengi wameonekana kukata tamaa na kutaka kuacha kazi...hali ya askari wa chini wanaotumika ktk Operation za riots imeshuka sana kwa kutishika na tukio la Iringa. Vijana wengi wameonekana kuchukizwa na hali ya kulazimishwa kutumia nguvu kwa maslahi ya kisiasa,kwa kugundua hilo makamanda wamewatia moyo vijana wengi kuwa wasikate tamaa,kwani swala la Iringa n sehemu ya ajali za kazini ambazo wao kama askari wanatakiwa wakabiliane nazo! Kiukweli vijana wengi wamekata tamaa baada ya kuona panapotokea tatizo ni askari wa vyeo vya chini ndo wanatolewa kafara bila kufuata uwajibikaji wa pamoja na Seniority ya jeshi la polisi ambapo mdogo hafanyi kitu bila mkubwa kutoa amri.

Upuuzi mtupu huo!!!! Mabaraza ya askari ni kamati za kisiasa na matawi ya CCM ndani ya jeshi linalotakiwa kuwa non-political, non-partisan and professional.

Kinachotakiwa ni Polisi kufuata mahitaji ya katiba na general Police orders period.

kwamba vyama vya siasa vinatakiwa kutoa taarifa (sio kuomba kibali) kwa polisi saa 48 kabla ya kufanya mkutano au maandamano;

kwamba kufanya mikutano na maandamano ni haki ya vyama vya siasa ili kukidhi mahitaji ya katiba ya uhuru wa kukusanyika na kutoa maoni bila kuvunja sheria.

Kinacholipelekea jeshi la polisi kupoteza imani ya wananchi ni utayari wake wa kutumika kisiasa kwa mahitaji ya chama tawala CCM; na kujipa madaraka lisilokuwa nayo ya kuamua kama chama cha siasa cha upinzani kifanye mkutano ua la! ni hilo tu na halihitaji kutumwa na CCM kuunda mabaraza ya polisi, hatua hiyo ni sawa na nchimbi kuunda tume ya kuchunguza mauaji ya David Mwangosi wakati vielelezo vyote vipo wazi na wauaji wanajulikana kwa majina, sura na makazi yao!!!


Kama kweli Saidi Mwema ni askari wa haja asitupotezee muda bali afanye the right thing kwa kukataa CCM kulitumia jeshi la polisi kwa maslahi yao ya kisiasa.

afterall ni CCM wenyewe ambao kwa makusudi kabisa wamejipaka matope kwa ufisadi na rushwa na kugenisha raslimali za taifa bila kujali maslahi ya taifa, wananchi wameligundua hilo na ndio maana Chadema imepata nguvu ya kuitetemesha serikali, wasitafute mchawi mbali , mchawi wao ni wao wenyewe kwa kuliibia taifa bila huruma, sasa maji yamewafika shingoni wanathubutu kulitumia jeshi la polisi kulinda uovu wao! But as long as umma umeamka; hawataweza; hawatweza, hawataweza.


Right is devine; it will forever prevail. Eeh Mungu iokoe Mama Tanzania kutoka mikono ya wadhalimu hawa CCM waliomzika Baba wa Taifa kwa gharama kubwa na mbwembwe nyingi kisha siku chache baadaye wakaizika misingi ya uadilifu aliyoijenga muasisi huyo wa taifa letu.
 
Jeshi sasa aliiendeshwi kwa principles zake kama inavyotakiwa.
Inajulikana kabisa Askari wa chini anapata order toka kwa senior wake. Katika operation yoyote lazima iwe na commanding officer wa site. Sasa inakuwaje linapotokea kosa awajibishwe aliyepokea amri na si aliyetoa amri hiyo? Lakini zikitolewa sifa na nishani ni hao wenye vyeo ndio wanapata? Kuna tatizo sana na tatizo hilo ni SIASA!
 
Back
Top Bottom