Waraka wa ajira umetoka?

Waraka wa ajira umetoka?

daa sina iman maana kwa sasa uchumi umetikisika kwa kiasi kikubwa alafu kwa sasa serkl imejikita kwenye mitihan ya darasa la saba, form two, form four so nazani wenda mchakato huo ukaanza baada ya hili gurudumu ila tusubiri maajabu ya Musa yaweza tokea wenda Mungu kasikia kilio chetu
 
Back
Top Bottom